Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,400
Wakulu naona sisi ni wepesi wa kusahau, sasa watoto wa leo tutawaambiaje hadithi za uhakika?
Nakumbuka nauli kutoka Ubungo hadi Posta ya zamani kati ya 1989 na 1983 ilikuwa kati ya sumni yaani senti hamsini na shilingi moja.
Halafu baada ya 1983 nauli ikaanza kupanda kwa kasi hasa baada ya effects za Vita kuzidi kuumiza na hata Sokoine alipofariki mambo yakaanza kubadilika ghafla sana.
Pia wakati huko soda ilikuwa ni shilingi nne na ikapanda hadi shilingi sita mwaka 1984 mkate mmoja ulikuwa pia shilingi sita.
Mkebe na rula zake pale TANZANIA ELIMU SUPPLIES mtaa wa Makunganya (kama nakumbuka uzuri) duka pekee la vifaa vya elimu kwa wakti huo ikigharimu shilingi kari ya 10 au ishirini.
Shilingi kumi ya wakti huo
Shilingi ishirini ya wakti huo
Wakti ule ukiwa na noti ya shilingi 10 au 20 basi wewe ni tajiri sana, hasa kuweza kutanua na ice cream za "SNOW Cream" maana ilikuwa na uwezo wa kukuweka hata kwa wiki mbili.
Nakumbuka nauli kutoka Ubungo hadi Posta ya zamani kati ya 1989 na 1983 ilikuwa kati ya sumni yaani senti hamsini na shilingi moja.
Halafu baada ya 1983 nauli ikaanza kupanda kwa kasi hasa baada ya effects za Vita kuzidi kuumiza na hata Sokoine alipofariki mambo yakaanza kubadilika ghafla sana.
Pia wakati huko soda ilikuwa ni shilingi nne na ikapanda hadi shilingi sita mwaka 1984 mkate mmoja ulikuwa pia shilingi sita.
Mkebe na rula zake pale TANZANIA ELIMU SUPPLIES mtaa wa Makunganya (kama nakumbuka uzuri) duka pekee la vifaa vya elimu kwa wakti huo ikigharimu shilingi kari ya 10 au ishirini.
Shilingi ishirini ya wakti huo
Wakti ule ukiwa na noti ya shilingi 10 au 20 basi wewe ni tajiri sana, hasa kuweza kutanua na ice cream za "SNOW Cream" maana ilikuwa na uwezo wa kukuweka hata kwa wiki mbili.