Mabasi ya 'Luxury'

Mabasi ya 'Luxury'

Inategemea unazungumzia route gani, kama ni luxury kwa maana ya comfort kuna RATCO route ya Tanga, siti 2 by 1 (sio 2 by 2), friji, choo, ac, sehemu ya kuchajia simu/laptop, huduma za vinywaji na bites, kila siti ina tv, headphones
Mkuu uko serious?
 
Inategemea unazungumzia route gani, kama ni luxury kwa maana ya comfort kuna RATCO route ya Tanga, siti 2 by 1 (sio 2 by 2), friji, choo, ac, sehemu ya kuchajia simu/laptop, huduma za vinywaji na bites, kila siti ina tv, headphones
Mkuu uko serious?



Yeah serious, zipo threads humu humu JF za RATCO, zisome.
 
Nilikuwa sijakwambia mtoa mada enhee, hizo Dar express uwe unapanda kipindi cha kiangazi tu, ila kipindi cha mvua kama sasa utakiona cha mtema kuni. Yaani kwa kweli hayafai. Gari linavuja kama pakacha bwana kwa kweli Dar Express mnatia aibu kabisa.
Ukija upande wa hao madada kuwa na nyodo ndio kawaida yao yaani kama kuna mmoja yuko pale arusha ndio mkata ticket mweupe hivi, yule dada anakiburi mpaka anatia kiny'aa.
Jirekebisheni bwana, sikatai mmejipa sifa kubwa sana kwa safari za Dar-Arusha, Dar-Karatu, Dar-Nairobi, lakini onyesheni thamani yenu kwa kujali abiria zenu na sio kuwafanyia nyodo. Kuna magari maziri tu ya kwenda kaskazini ambayo yako vizuri kwa sasa.
 
Nilikuwa sijakwambia mtoa mada enhee, hizo Dar express uwe unapanda kipindi cha kiangazi tu, ila kipindi cha mvua kama sasa utakiona cha mtema kuni. Yaani kwa kweli hayafai. Gari linavuja kama pakacha bwana kwa kweli Dar Express mnatia aibu kabisa.
Ukija upande wa hao madada kuwa na nyodo ndio kawaida yao yaani kama kuna mmoja yuko pale arusha ndio mkata ticket mweupe hivi, yule dada anakiburi mpaka anatia kiny'aa.
Jirekebisheni bwana, sikatai mmejipa sifa kubwa sana kwa safari za Dar-Arusha, Dar-Karatu, Dar-Nairobi, lakini onyesheni thamani yenu kwa kujali abiria zenu na sio kuwafanyia nyodo. Kuna magari maziri tu ya kwenda kaskazini ambayo yako vizuri kwa sasa.

kumbe ba wewe ulishakutana na kadhia hii.....
 
pole sana ,wachaga wabahili usitegemee kurelax
Unarelax nini na matatizo yote uliyonayo? Unatoka kwenye shida unakwenda kwenye shida halafu unataka kurelax. Dandia hata fuso safari ni safari cha muhimu kufika!
 
Back
Top Bottom