zhang laoshi
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 401
- 469
Habari wadau,
Bus Za Saul zinazofanya safari yake Dar to Mbeya, zimezuiliwa zisitoke kituo cha mile moja kibaha na Sumatra wakidai kuwa BUS Za Saul zimewah kupita wakadai timetable walipopewa wakasema imekosewa watu walipohoji mbona Alsaedy halikamati na limefatana na Saul?, wakabadilisha topic kuwa BUS Za saul zimefungiwa kufanya kazi na leo ni siku ya tatu hazitakiwi kuwa barabarani
Jambo hilo lilizua mzozo na taharuki huku abiria wakishuka kutoka kwenye Bus kufatilia mzozo huo, wakimbana afisa muhusika ila akishindwa kutoa majibu sahihi, mfano walimuuliza "BUS zimetoka Mbeya Je Mbeya hakuna Sumatra wa kulikamata?
Police wa usalama barabarani hawakuhusika ila walipoona mzozo unazidi ilibidi mkuu wao aingilie kati kumuomba madereva wangu kwenye Bus na watu waendelee na safari.
Trafic mmoja alisikika akisema ni hujuma Za Alsaedy katika kuonekana amechemka ligi, hili linajionyesha dhahiri Maana Saul Huwa zinasimamishwa kila mara ili Alsaedy aje ampite, watu wa stend Morogoro wanaelewa hili.
"Vijana wanaobet (bodaboda) kuwa Saul ataongoza kuingia Dar wamelalamika sn leo kukosa mshiko hasa wale kuanzia Mile moja kibaha to Ubungo"
Bus Za Saul zinazofanya safari yake Dar to Mbeya, zimezuiliwa zisitoke kituo cha mile moja kibaha na Sumatra wakidai kuwa BUS Za Saul zimewah kupita wakadai timetable walipopewa wakasema imekosewa watu walipohoji mbona Alsaedy halikamati na limefatana na Saul?, wakabadilisha topic kuwa BUS Za saul zimefungiwa kufanya kazi na leo ni siku ya tatu hazitakiwi kuwa barabarani
Jambo hilo lilizua mzozo na taharuki huku abiria wakishuka kutoka kwenye Bus kufatilia mzozo huo, wakimbana afisa muhusika ila akishindwa kutoa majibu sahihi, mfano walimuuliza "BUS zimetoka Mbeya Je Mbeya hakuna Sumatra wa kulikamata?
Police wa usalama barabarani hawakuhusika ila walipoona mzozo unazidi ilibidi mkuu wao aingilie kati kumuomba madereva wangu kwenye Bus na watu waendelee na safari.
Trafic mmoja alisikika akisema ni hujuma Za Alsaedy katika kuonekana amechemka ligi, hili linajionyesha dhahiri Maana Saul Huwa zinasimamishwa kila mara ili Alsaedy aje ampite, watu wa stend Morogoro wanaelewa hili.
"Vijana wanaobet (bodaboda) kuwa Saul ataongoza kuingia Dar wamelalamika sn leo kukosa mshiko hasa wale kuanzia Mile moja kibaha to Ubungo"