Mabasi na matumizi mabaya ya Air Cinditioner

TheChoji

JF-Expert Member
Apr 14, 2009
4,973
15,305
Bado niko na haya mabasi yetu. Nafikiri wahudumu/madereva/kondakta wa mabasi makubwa yenye AC kuna kitu hawaelewi. Kazi ya AC au air conditioner sio kuleta BARIDI bali ni ku regulate hali ya hewa ili iwe ya kawaida ambayo watu wote wataishi kwa raha, sio baridi wala sio joto. Ndio maana kitufe cha AC kina settings tofauti kuanzia ndogo hadi kubwa.

Sasa kuna baadhi ya mabasi huwa sijui wanaona ni sifa kufungulia AC mpaka mwisho. Yaani utakuta kwenye basi kuna baridi utafikiri upo ndani ya deep freezer! Abiria unakuta wamejikunyata humo ndani kama vifaranga vya kuku huku wengine wakilazimika kuchomoa masweta, mitandio au migolole. Wengine wanasafiri na watoto au wagonjwa basi tabu tupu.

Mbaya zaidi unakuta basi linatokea sehemu yenye joto mfano dar kwenda arusha lakini AC iko pale pale -mwanzo mwisho! Wahusika badilikeni acheni ushamba.
 
Mkuu unatumia kinywaji gani nikununulie? Wahusika wa mabasi wabadilike katika hili jamani, unasafiri saa 12 asubuhi, AC kwenye basi kama upo kwenye freezer! Ni bora wakafahamu matumizi sahihi ya AC, hata ukifunga air ventilation kwenye siti yako kama basi limeshajaa baridi haipunguzi chochote.
 
Bado niko na haya mabasi yetu. Nafikiri wahudumu/madereva/kondakta wa mabasi makubwa yenye AC kuna kitu hawaelewi. Kazi ya AC au air conditioner sio kuleta BARIDI bali ni ku regulate hali ya hewa ili iwe ya kawaida ambayo watu wote wataishi kwa raha, sio baridi wala sio joto. Ndio maana kitufe cha AC kina settings tofauti kuanzia ndogo hadi kubwa.

Sasa kuna baadhi ya mabasi huwa sijui wanaona ni sifa kufungulia AC mpaka mwisho. Yaani utakuta kwenye basi kuna baridi utafikiri upo ndani ya deep freezer! Abiria unakuta wamejikunyata humo ndani kama vifaranga vya kuku huku wengine wakilazimika kuchomoa masweta, mitandio au migolole. Wengine wanasafiri na watoto au wagonjwa basi tabu tupu.

Mbaya zaidi unakuta basi linatokea sehemu yenye joto mfano dar kwenda arusha lakini AC iko pale pale -mwanzo mwisho! Wahusika badilikeni acheni ushamba.


Ni culture ya watumiaji wapya wa teknolojia, ni kama majumbani kukinunuliwa radio mpya, sauti inaongezwa to the maximum, mtu akinunua gari, anaendesha kwa speed kali nknk
 
Ni culture ya watumiaji wapya wa teknolojia, ni kama majumbani kukinunuliwa radio mpya, sauti inaongezwa to the maximum, mtu akinunua gari, anaendesha kwa speed kali nknk
Ha ha ha kipya hakinyemi
 
Ni culture ya watumiaji wapya wa teknolojia, ni kama majumbani kukinunuliwa radio mpya, sauti inaongezwa to the maximum, mtu akinunua gari, anaendesha kwa speed kali nknk
Ha ha ha kipya hakinyemi
 
Bado niko na haya mabasi yetu. Nafikiri wahudumu/madereva/kondakta wa mabasi makubwa yenye AC kuna kitu hawaelewi. Kazi ya AC au air conditioner sio kuleta BARIDI bali ni ku regulate hali ya hewa ili iwe ya kawaida ambayo watu wote wataishi kwa raha, sio baridi wala sio joto. Ndio maana kitufe cha AC kina settings tofauti kuanzia ndogo hadi kubwa.

Sasa kuna baadhi ya mabasi huwa sijui wanaona ni sifa kufungulia AC mpaka mwisho. Yaani utakuta kwenye basi kuna baridi utafikiri upo ndani ya deep freezer! Abiria unakuta wamejikunyata humo ndani kama vifaranga vya kuku huku wengine wakilazimika kuchomoa masweta, mitandio au migolole. Wengine wanasafiri na watoto au wagonjwa basi tabu tupu.

Mbaya zaidi unakuta basi linatokea sehemu yenye joto mfano dar kwenda arusha lakini AC iko pale pale -mwanzo mwisho! Wahusika badilikeni acheni ushamba.
Umewahi kutumia usafiri wa ndege za abiria?
 
Ni heri kuzoea hali ya hewa unapoishi kuliko kujifanya wapenda AC kumbe hata nyumbani kwako kuna ka-feni kamoja au hakuna kabisa...
 
Back
Top Bottom