hivi hasa kilicho iua uda ya mwanzo kimedhibitiwa....!!? Au ni kama mtu unaumwa malaria unenda hospitali una tibiwa.... Unapona.... unarudi nyumbani halafu unaendelea kulala kwenye mbu bila net....!!!?
labda tatizo la usafiri litapungua manake yanaonekana yanauwezo wa kubeba abiria wengi kuliko daladala nyingine zilizopo.
Na tren za mwakyembe zitakapo anza, then na mabasi ya mwendo kasi nadhani tatizo litaisha kabisa.