tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,315
itakua safi.....
Mwaka 1993 wakati serikali inatangaza rasmi magari ya safiri mchana baada ya basi la Yarabi Salama kutoka Dodoma kwenda Dar kupata ajali, wengi walisema mchana ni salama kuliko usiku, kama ni mchana tu wanakimbia namna hiyo pamoja na torch zipo, je usiku si itakuwa balaa.Kiuchumi:
Kwa mfano unatoka iringa jioni unafika dar usubuhi
unafunga mzigo mchana kutwa,jioni unakwea basini.
Mapedekezo
dar ira
dar moro
dar tan
dar dom
dar ms/r chug
(kwa usiku ni salama zaidi ya mchana)
ok?
Kiuchumi:
Kwa mfano unatoka iringa jioni unafika dar usubuhi
unafunga mzigo mchana kutwa,jioni unakwea basini.
Mapedekezo
dar ira
dar moro
dar tan
dar dom
dar ms/r chug
(kwa usiku ni salama zaidi ya mchana)
ok?
Hii itakuwa safi sana, kwani miaka ya nyuma.mbona ilikuwa hivo?
Kwa upande wa usalama naamini watakuwa wamefanya utafiti na yawezekana si mikoa yote mf. Dar - Moro mpaka Dodoma hakuna shida sana, au Dar - Arusha hapo ni mfano tu but kuna njia.zingine ambazo asilimia kubwa miji na vijiji vipo karibu karibu so suala la usalama upande wa ujambazi linaweza kuwa tofauti na kama kule bukoba kutokea kahama kwenye lile poli kubwa sana na ambalo ukipita mchana unaweza kudhani ni usiku, pia magari kusafiri kwa ukaribu karibu inaweza kusaidia kwa upande huo.
Lakini kwa upande wa barabara sisi tz tuna barabara (long way) nzuri kuliko jirani zetu kenya lakini wao ambao hata suala la ujambazi kwa kuteka mabasi lipo juu bado wanasafiri usiku na mie napenda sana maana huwa kutoka mwanza kwenda NRB ukifika border sirare unaenda migori saa 2000hrs unapanda eridoret au acasia unaingia NRB saa 0600hrs unafanya mambo yako na jioni unafanya asif ulivokuja. Sasa sie hapa uwoga weeee, hata moro dar napo unasubiri kuche dooo !!.
Ikianza hii itaongeza maendeleo na uchumi kukua japo wenye nyumba za wageni wajiandae kufanya biashara zingine AU ziwe za shortime -hahahaaaa.
Sasa tutegemee maambukizi ya kasi ya gonjwa la ukimwi