E. J. Magarinza
Member
- Jan 13, 2011
- 37
- 10
Jiji limependeza sasa ni Magufuli na kauli mbio Hapa kazi tu. Mabango yametapakaa kila kona matangazo ya voda tigo airtel tupa kule.
Najua hayo mabango ni ya kampuni binafsi na kodi hukusanywa na halmshauri husika sina shaka na hilo.
Ila CCM wajanja mmechukua mabango ya sehemu nyeti zote UKAWA sijui wataweka wapi mabango yake.
#Lowassa 2015
hahahaha azipate wapi.......mpka atembee na miguu ndo apateLowasa picha zenyewe za kuweka kwenye Mabango hana, ndo anazitengenezea Gongolamboto, Tandale, Tandika na kwingineko. Aliisahau hiyo part ya Mabango na matangazo.
nimependa bango lako
naomba nilichukue nikalibandika nchi nzima
Nimeyaona hayo mabango, mimi naifahamu gharama ya kutengeneza kila bango, yaani production cost, kutokana na size ya bango, halafu pia nafahamu rental fees za kubandika kila bango according to size and location, hivyo kupitia sheria ya gharama za Uchaguzi, the public has the right to know, CCM sio tuu kwa nini imetumia gharama kubwa kuliko zilizoainishwa kisheria, bali pia vyama vinawajibika kuwataja wafadhili wao na kiasi walichofadhili, lazima itaje source ya hizo fedha, na kama imepewa offer kutoka kampuni ya A1, then ipigwe hesabu yote ya hiyo offer, then tufuatilie TRA kama hao AI wamelipa kodi stahiki kwa offer zake kwa CCM, ili isije kuwa this time CCM imeishatafuta kichaka kingine kama cha Kagoda kilichomuingiza Mukulu Ikulu, na ufadhili kwa CCM kisije kuwa ni kichaka cha ukwepaji kodi, vinginevyo kama wafanya biashara wako huru kuchangia chama chochote cha siasa, alimradi kwanza michango hiyo ionekane wazi kwenye mahesabu, pili vyama vitaonyesha source za pesa hizo, na mwisho pesa zote zitalipiwa kodi stahiki!.
Pasco
Mabango ya LOWASSA yapo mioyoni mwa Watanzania wapenda mabadiliko.
Jiji limependeza sasa ni Magufuli na kauli mbio Hapa kazi tu. Mabango yametapakaa kila kona matangazo ya voda tigo airtel tupa kule.
Najua hayo mabango ni ya kampuni binafsi na kodi hukusanywa na halmshauri husika sina shaka na hilo.
Ila CCM wajanja mmechukua mabango ya sehemu nyeti zote UKAWA sijui wataweka wapi mabango yake.
#Lowassa 2015
Mabango ya LOWASSA yapo mioyoni mwa Watanzania wapenda mabadiliko.
Rais sio kuuza sura kwaenye mabango kwa pcha za mauzo eti sura ya Rais.Bali Rais ni nini kile anacho kwenda kukifanya.
Nyinyi msiwe na wasiwasi, endeleeni kula keki za birthday. Subiri KIPIGO SIKU YA SIKU.Wanaukumbi.
Kuna neno 'Hapa kazi tu' watungaji hawakuona madhara..
Neno hilo limeanza kuimaliza ccm na mgombea kwa maana kuwa KUNA KAZI KUBWA KUMKABILI LOWASSA..kana kwamba kazi ya kampeni ni ngumu 'tu' likiwa na maana yatosha kwani TUMESHINDWA ILA TWAJIPELEKAPELEKA KUTIMIZA JUKUMU.
Shauri ya magamba,nadhani hamna mshauri.
TAFAKARI..