Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,616
- 164,639
Kuna nini mdauMtu umesambaza mabango nchi nzima lakini bado hukubaliko unategemea dola ikubebe
Mwenzako hana bango hata moja lakini mziki wake unakunyima usingizi
Hakika kibaya chajiuza, chema chajitembeza.
Anywa, haya ndio matokeo ya kupata mafaraka kwa zali la mentali.
Pole sana.
Kibibi chauuu hakiuzikiiiiiii...kimedodaaaHuyu bibi ni hamna kitu sema chawa wanufaika ndio wanapaza masauti ya kinafki!.
Huyu bibi ni hamna kitu sema chawa wanufaika ndio wanapaza masauti ya kinafki!.
Uasi dhidi ya serikaliMtu umesambaza mabango nchi nzima lakini bado hukubaliko unategemea dola ikubebe
Mwenzako hana bango hata moja lakini mziki wake unakunyima usingizi
Hakika kibaya chajiuza, chema chajitembeza.
Anywa, haya ndio matokeo ya kupata mafaraka kwa zali la mentali.
Pole sana.
Hoja za Lissu zijibiwe sio kutuma Mapolisi.Uasi dhidi ya serikali
Makamanda mlikuwa wapi Hadi mwenyekiti wenu anakamatwa .Mtaweza kuandamana na kukinukisha kweli?Mnawahadaa WATANZANIA kwa maslahi yenu binafsiHoja za Lissu zijibiwe sio kutuma Mapolisi.
View attachment 3298281
Wanaacha kupeleka hizo pesa kwenye ujenzi wa miundombinu ya barabara badala yake wanajaza mabango ya mtawala ambayo hayatusaidii, upumbavu kabisa na huo udaktari wa zawadi.Mtu umesambaza mabango nchi nzima lakini bado hukubaliko unategemea dola ikubebe
Mwenzako hana bango hata moja lakini mziki wake unakunyima usingizi
Hakika kibaya chajiuza, chema chajitembeza.
Anywa, haya ndio matokeo ya kupata mafaraka kwa zali la mentali.
Pole sana.
Hayana akili wala maarifaWanaacha kupeleka hizo pesa kwenye ujenzi wa miundombinu ya barabara badala yake wanajaza mabango ya mtawala ambayo hayatusaidii, upumbavu kabisa na huo udaktari wa zawadi.
Kibaya chajitembeza, kizuri chajiuza.Mwenzako hana bango hata moja lakini mziki wake unakunyima usingizi