Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Kamanda Lema muda huu amewapokea wanachama wengi kutoka ccm walioamua kujivua gamba. Kati ya hao waliojivua gamba kuna mabalozi waaminifu wa ccm.
Tunawakaribisha kwenye mapambano mpaka ukombozi wa Tanzania upatikane
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Tunawakaribisha kwenye mapambano mpaka ukombozi wa Tanzania upatikane
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums