BAGUNYA
Member
- Oct 24, 2017
- 72
- 40
Mkuu haujasau lakiniWeka limao , ila angalia usije ukalia.
Si limao na jivu mix
Mkuu haujasau lakiniWeka limao , ila angalia usije ukalia.
Jf doctor naombeni kujua ni dawa gani inatibu fangasi za sehem za siri.... Maana nna fangasi mpaka mkojo unatoka una rangi ya njano
Kwa hiyo unapima sana na bado hujaukuta...unautafuta?Ukimwi napima sana na sijawah kuwa nao
Aise umenikumbusha maisha ya shule miaka hiyoMkuu umepata ule ugonjwa tunaita pumbu erosion
Pole sn
Ahsante sana mkuu nitaufanyia kazi ushaur wakopole sana ndugu yngu huo ugonjwa ni mbaya sana unasumbua sana wanafunzi hasa wale ambao wanakaa boarding na unasababishwa na 1.kuvaa nguo zinazo bana kwa muda mrefu hasa wakati wa joto 2.kuchangia nguo na watu ambao n waathilika wa ugonjwa huo na hata kuchangia vifaa kma sabuni ,ndoo na mabeseni wakati wa kuoga ,taulo nk nakushauli nduguyangu dawa ya kutibu haraka ni kunyunyuzia poda pia kujiepusha na kushare vitu na watu.ugua pole
Sawa kiongoziTumia Whitefield ointment ..inauzwa 1000...hakikisha unabadili boxer asubuhi najion...
Tukutane Jumatatu uniletee majibu.
Nmekuelewa mkuluMafuta ya nazi Original, yanapatikana kwenye maduka ya dawa za kienyeji, ni dawa kubwa sana kiongozi.
Kumbe inasababishwa na nnMkojo wa njano sababu fungus hii kamba mkuu
Mkulu mkojo wa njano ni kawaida ila penda kunywa maji mengi ya kutosha utasahau kukojoa mkojo wa njanoKumbe inasababishwa na nn
Sawa mkuuNi usafi tu,utameza dawa,utapaka dawa ila kama mazingira ni yaleyale ni sawa hakuna kitu
Sawa mkuuusafi tu, hakikisha unanyoa kila Mara, hakikisha huvai boxer ambazo ni nylon jitahidi uvae cotton, hakikisha mazingira yanakua makavu kabisa. Ukipata Mafuta ya Nazi halisi Utakua umepona hutahitaji kupiga gemu Ukiwa gizani...
Sawa mkuuMkulu mkojo wa njano ni kawaida ila penda kunywa maji mengi ya kutosha utasahau kukojoa mkojo wa njano
pulizia rungu