Mabadiliko yanaendelea CCM, Pandu Kificho akatwa uspika Zanzibar

Simiyu Yetu

JF-Expert Member
Apr 29, 2013
18,949
4,639
Katika kuhakikisha kuwa ccm inajengwa kuwa imara zaidi kwa kuwaamini vijana zaidi aliyekuwa spika wa baraza la wawakilishi zanzibar leo amepigwa chali na nafasi yake kushikwa na mh zuber Ali Maulid.

Kwa mantiki hiyo spika mpya wa baraza la wawakilishi ni zuber Ali Maulid ambapo alipata kura 55 kati ya kura zote zilizopigwa ambazo jumla yake ilikuwa 72,wakati huo pandu kificho akipata kura11 na mh janet sekiholo akipata kura 4 tu,huku kura mbili zikiharibika.
 
Katika kuhakikisha kuwa ccm inajengwa kuwa imara zaidi kwa kuwaamini vijana zaidi aliyekuwa spika wa baraza la wawakilishi zanzibar leo amepigwa chali na nafasi yake kushikwa na mh zuber Ali Maulid.

Kwa mantiki hiyo spika mpya wa baraza la wawakilishi ni zuber Ali Maulid ambapo alipata kura 55 kati ya kura zote zilizopigwa ambazo jumla yake ilikuwa 72,wakati huo pandu kificho akipata kura11 na mh janet sekiholo akipata kura 4 tu,huku kura mbili zikiharibika.
SASA SISI INATUHUSU NINI???
 
Katika kuhakikisha kuwa ccm inajengwa kuwa imara zaidi kwa kuwaamini vijana zaidi aliyekuwa spika wa baraza la wawakilishi zanzibar leo amepigwa chali na nafasi yake kushikwa na mh zuber Ali Maulid.

Kwa mantiki hiyo spika mpya wa baraza la wawakilishi ni zuber Ali Maulid ambapo alipata kura 55 kati ya kura zote zilizopigwa ambazo jumla yake ilikuwa 72,wakati huo pandu kificho akipata kura11 na mh janet sekiholo akipata kura 4 tu,huku kura mbili zikiharibika.
Kwa akili yako na hii ni habari?
 
Wabunge gani waliopiga kura?
Wagejua umri umeenda wange pumzika hawange subiri kuaibishwa kama my rafiki yule wa Bunda
Katika kuhakikisha kuwa ccm inajengwa kuwa imara zaidi kwa kuwaamini vijana zaidi aliyekuwa spika wa baraza la wawakilishi zanzibar leo amepigwa chali na nafasi yake kushikwa na mh zuber Ali Maulid.

Kwa mantiki hiyo spika mpya wa baraza la wawakilishi ni zuber Ali Maulid ambapo alipata kura 55 kati ya kura zote zilizopigwa ambazo jumla yake ilikuwa 72,wakati huo pandu kificho akipata kura11 na mh janet sekiholo akipata kura 4 tu,huku kura mbili zikiharibika.

Umri umeenda, ni bora wakae pembeni waruhusu mawazo mapya
 
Back
Top Bottom