Big Dy
JF-Expert Member
- Dec 23, 2015
- 467
- 541
Habari za mda huu wadau!
Mungu amejalia wife kitumbo kimejaa,sasa changamoto inayonikumba ni haya mabadiliko yake ya kila siku naomba msaada wa mawazo ama njia gani tutumie
1. Kula amekua hataki kabisa na kama akila basi ni kidogo sana afu anajilaza hii inaendana na kutokunywa maji kabisa inaweza kupita siku maji ya kunywa asiyaguse kabisa
2.Akiwa amelala anakua ana weweseka/kushtuka sana japo yeye mwenyewe anakua hajui
3.Kila mara anasema mapigo ya moyo yanamuenda mbio kama vile ametoka kukimbia
4.Muda wote yeye anakua amechoka hata alale kiasi gani akiamka utasikia nimechoka sana sasa ni kawaida kwa wenye ujauzito au kutakua na tatizo?
Natanguliza shukrani zangu za dhati
Mungu amejalia wife kitumbo kimejaa,sasa changamoto inayonikumba ni haya mabadiliko yake ya kila siku naomba msaada wa mawazo ama njia gani tutumie
1. Kula amekua hataki kabisa na kama akila basi ni kidogo sana afu anajilaza hii inaendana na kutokunywa maji kabisa inaweza kupita siku maji ya kunywa asiyaguse kabisa
2.Akiwa amelala anakua ana weweseka/kushtuka sana japo yeye mwenyewe anakua hajui
3.Kila mara anasema mapigo ya moyo yanamuenda mbio kama vile ametoka kukimbia
4.Muda wote yeye anakua amechoka hata alale kiasi gani akiamka utasikia nimechoka sana sasa ni kawaida kwa wenye ujauzito au kutakua na tatizo?
Natanguliza shukrani zangu za dhati