Mvinyo mpya
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 2,493
- 5,649
System imeamua. Mabadiliko makubwa before uchaguzi
impe lissu go ahead na reforms zakeSystem imeamua. Mabadiliko makubwa before uchaguzi
System imeamua. Mabadiliko makubwa before uchaguzi
Wakiwa kwenye bunge linalo vunjwa au kivipi bossSystem imeamua. Mabadiliko makubwa before uchaguzi
Hakuna Nchi ya hivyo hapa Duniani,bila TISS kufanya hivyo hakuna Utawala.Kama System inajitambua ifanye mabadiriko fasta la sivyo hii nchi hii inakwenda kupuyangapuyanga.
Mabadiliko lazima:
1. Yawe ya kimfumo, hii katiba ya sasa inalinda ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka. Kiufupi katiba hii ni existential threat ya nchi hii
2. Mabadiriko lazima yaweke pembeni watu wote ambao ni wapigaji, wanaonuka rushwa, wasio na maadili ya uongozi
3. Mabadiliko yaondoe sheria inayoruhusu TISS kufanya kazi za kipolisi za kukamata watu, irudi TISS ya kukusanya taarifa tu na iondoe kinga kwa watakaoua wananchi
Hata mimi hayo mabadiliko nomeyasikia. Kwamba tangu Lissu aingie kwenye uwenyekiti wa Chadema, hali imekuwa mbaya sana. Hakuna fedha, hakuna mvuto na wanachama wanakimbia kila leo. Sasa Kamati Kuu ya Chadema iliyokaa jana, imepanga kwenda kumuomba msamaha Bilionea Mzee Mbowe.arudi kwenye Uwenyekiti na Lissu aondolewe!System imeamua. Mabadiliko makubwa before uchaguzi
We mama Joy usiwe unampa simu mtotoHata mimi hayo mabadiliko nomeyasikia. Kwamba tangu Lissu aingie kwenye uwenyekiti wa Chadema, hali imekuwa mbaya sana. Hakuna fedha, hakuna mvuto na wanachama wanakimbia kila leo. Sasa Kamati Kuu ya Chadema iliyokaa jana, imepanga kwenda kumuomba msamaha Bilionea Mzee Mbowe.arudi kwenye Uwenyekiti na Lissu aondolewe!
SawaHata mimi hayo mabadiliko nomeyasikia. Kwamba tangu Lissu aingie kwenye uwenyekiti wa Chadema, hali imekuwa mbaya sana. Hakuna fedha, hakuna mvuto na wanachama wanakimbia kila leo. Sasa Kamati Kuu ya Chadema iliyokaa jana, imepanga kwenda kumuomba msamaha Bilionea Mzee Mbowe.arudi kwenye Uwenyekiti na Lissu aondolewe!
System ipi hii hii inayo wakingia kifua wanaojulikana ambao hawatakiwi wajulikane na ili waendelee kuto julikana tunaambiwa watu wasiojulikaniSystem imeamua. Mabadiliko makubwa before uchaguzi