Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 96
Jana kwenye hotuba ya JK alisema, madaktari walienda kwa maaskofu kabla ya kupelekwa na maaskofu hao hao kwenye mazungumzo na Pinda usiku wa manane. Nataka kujua tu nini ilikuwa role ya maaskofu kwenye sakata hili? Kwa nini madaktari walienda kwa maaskofu kwanza kabla ya kwenda kwenye mazungumzo? Kwa nini maaskofu walilazimisha na wao wawepo kwenye mazungumzo hayo?