Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Ni dhahiri rafiki zangu Bagonza,Shoo na Munga wamejifunza jambo kubwa kwenye siasa hususani katika kipindi cha kati ya mwaka 2015 na 2019 kwa kweli kweli walipambana kuhakikisha safari ya matumaini inatimia bila kuelewa fumbo lililokuwemo katika furushi zima la safari matumaini.
Walifikia kipindi kuwatenga baadhi ya maaskofu waliokuwa kinyume na misimamo yao.Maaskofu Dr.Masangwa wa Arusha,Dr.Malasusa wa DMP nk walionekana hawafai lakini leo ukweli umesimama.
Ifike mahali niseme si vema kuwatenga ndugu na jamaa sababu ya itikadi za kisiasa au ufuasi wa mwanasiasa.
Nimalize kwa kuwashairi akina Bagonza,Shoo na Munga wajikite kuhubiri neno la Mungu huku wakitoa ushauri na tahadhari kwa hekima.
Leo Ndg.Lowasa karudi upande wa pili mliokuwa mkiunanga mitaani na kwenye madhabahu.
Liwe fundisho,tusameheane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni dhahiri rafiki zangu Bagonza,Shoo na Munga wamejifunza jambo kubwa kwenye siasa hususani katika kipindi cha kati ya mwaka 2015 na 2019 kwa kweli kweli walipambana kuhakikisha safari ya matumaini inatimia bila kuelewa fumbo lililokuwemo katika furushi zima la safari matumaini.
Walifikia kipindi kuwatenga baadhi ya maaskofu waliokuwa kinyume na misimamo yao.Maaskofu Dr.Masangwa wa Arusha,Dr.Malasusa wa DMP nk walionekana hawafai lakini leo ukweli umesimama.
Ifike mahali niseme si vema kuwatenga ndugu na jamaa sababu ya itikadi za kisiasa au ufuasi wa mwanasiasa.
Nimalize kwa kuwashairi akina Bagonza,Shoo na Munga wajikite kuhubiri neno la Mungu huku wakitoa ushauri na tahadhari kwa hekima.
Leo Ndg.Lowasa karudi upande wa pili mliokuwa mkiunanga mitaani na kwenye madhabahu.
Liwe fundisho,tusameheane.
Sent using Jamii Forums mobile app