Maaskofu mnaoleta siasa madhabahuni kumbukeni busara za mzee Makamba

Na nyie mnaye Pengo na Bakwata sasa tatizo nini? Mnapenda sana kusifiwa na kuabudiwa, na hii ndiyo itakuwa downfall yenu kwani anayestahili kusifiwa na kuabudiwa ni Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na nçhi peke yake.
Hopeless comments!!
 
Mkuu unaweza kutusaidia umri wako hata kwa interval.Mfano
  • 15-20
  • 21-25
  • 26-30
  • 31-35
  • 36-40
  • 41-45
  • 46-50
  • 51-55
  • 56-60
  • 61-65
  • 66-70
  • 71-75
Ili tujadili mada yako maana unaweza kujadili na mtu ambaye umri wake kumbe tatizo tosho.
Nahisi mtoa post kazaliwa 1980. Tuanzie hapo...
 
Hayo Ambayo hujayasikia kwao nadhani nafsi yako itakuwa imesuuzika kuyasikia Kutoka kwa Pengo na wenzake wengine.

Hayo unayotasikia ndio Wameamua kwa Utashi wao kuyasemea.

Sio kila mtu yupo kwa ajili ya kuimba pambio za sifa mbele ya mfalme "dhalimu".
 
NENO MOJA TU LA 'AKATUBU' LIMELETA TAHARUKI UTADHAN UMESHKWA NYETI NDUGU? VIPI AKIONGEA MANENO 5 SI MTAZIMIA?

KWELI UKWELI UNAUMA...
 
NENO MOJA TU LA 'AKATUBU' LIMELETA TAHARUKI UTADHAN UMESHKWA NYETI NDUGU? VIPI AKIONGEA MANENO 5 SI MTAZIMIA?

KWELI UKWELI UNAUMA...
si bora kushikwa nyeti kuliko kushikwa 0713...manake watu walivyoruka, utadhani.....
 
Upuuzi mtupu!!!
 
Mleta hoja porojo nyingi na ndeefu kama batabara na ndani kumejaa maushizi ya ubongo wako! Kila mmoja ana jukwaa lake kwa maana ya mwanasiasa na askofu. Askofu ana jukumu la kukumbusha juu ya mahitaji ya Mungu wetu juu yako ili kuinusuru nafsi yako kwenda jehanamu. Ni wapi kawaalika wavaa sare za chama na kuwahibiria sera za chama?
Kamkumbisha mkristo mwenzake kutubu! Na kutubu ni sehemu ya ibada kwa wakristo na hata waislam. Kakosea nini? Hayo mengine ya kumtuma kumwaarrest Lowasa ili iweje labda? Kafanya nini na kakosea wapi ambapo wewe una ushahidi? Acha kujipendekeza kijinga na nyakati nyingine uwe na ushahidi usio na mawaa kwa uliowatuhumu. Umeudhi wengi nikiwa mmojawao.
 
Mbona Husemi kuhususu kutoongezwa mishahara kwa watumishi wa serikali we VIP Acha kuangalia upande mmoja
 


Mkuu yaani bandiko lote hili unapambana na neno moja tu "akatubu"? Najaribu kuwaza ikiwa askofu angesema maneno kumi na ukaamua kuyajibu yote, si ungemiliki Jf yote mwenyewe??!
 
Na bado. Mnaweka na majina yenu halisi kwasababu mnasukumwa na tumbo. Hamuwezi kuongoza nchi kama genge. Sasa unataka Lowassa akamatwe. Endeleeni kumshauri upumbavu mtauona mwisho wake.
 
kakobe baada ya kuona umaarufu umeisha, sasa anatafuta kiki kwa pikipiki, na alivyo mwepesi kama unyoa,ana test
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…