GE2025 Maandamano yatafanyika

GE2025 Maandamano yatafanyika

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Kupiga kura ni kuhalalisha maisha magumu kwa Watanzania. Msako utafanyika kila kona kila uchochoro, ole wake atakayekutwa ana alama ya rangi kwenye kidole. Kidole kitakatwa. Hatuwezi kuendelea kuishi na wasaliti mitaani.
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Kabla hamjashikana mikono physically kwanza mshikane kwa kuwa na common goals ya mnachogombania nacho ni issues ambazo zinamsumbua kila mtu.., na mjifunze kuangalia issues na sio kuangalia mambo kwa miwani za Uchama, Udini au hata Ukabila - hio ndio silaha wanayotumia watawala (WAO na SISI) Case in Point hata humu ndani mnapigana wenyewe kwa wenyewe..
Dini zimesha tugawa dini ni ubeberu.watz tunashindwa kufanya maamuzi ya pamoja kwa sababu udini
 
Kwa nini wewe umeyafikiria hayo "mambo ya uchama, udini, ukabila", kuwa ndizo sababu za wanaopinga Samia na Genge lake wanazitumia? Kubadili utawala mbovu huoni kuwa ni muhimu?
Mkuu unavyosoma sentensi ukifikia kwenye nukta, na kuanza sentensi nyingine unasahau mwanzo wa sentensi iliyopita ? Unaelewa context ?

Nimesema kabisa kwamba Watawala ndio wanatumia hizo tofauti zote ambazo hazipo kwa kuwagawa hence hata huo Utawala mbovu ni issue na mtakuwa mnabadilisha Utawala mbovu (sababu ya ubovu wake na sio anything else ambayo inaweza kuvikwa propaganda)
Lakini hata kama ingekuwa kama hivyo unavyo eleza wewe; kama lengo la kuung'oa utawala mbovu litafanikishwa na makundi hayo, hilo bado litakuwa ni jambo jema.
Vipi ninavyoelezea ?!!! Kuna mtu ambaye hakumbwi na shida ya issues zinazoendelea kwa sasa ? Ukosefu wa Ujira, Ufujaji wa Kodi zetu, Utawala usiofaa, watu kutokuwajibika, huduma mbovu n.k. (hizo ndio issues nazoongelea mimi) na umoja ni nguvu wakati kuna man made (watawala made issues) ambazo zinakuwa planted na watawala na zinawagawa kwahio ku-dilute nguvu zenu (hakuna Umoja); Chama A kikisema hivi inaonekana ni sawa Chama B kikisema vile inaonekana sio Sawa badala ya kuangalia Usawa wa Vice Versa ya kinachosemwa

Case in point hata tukija issue ya Utekaji watu hawaangalii kama issue ya utekaji ni mbaya na mtanzania anatekwa bali inavikwa kwamba huyu ni Polepole ambaye jana alikuwa mbaya au huyu ni Chama hiki au Padri n.k. Badala ya Issue ambayo ni UTEKAJI hence no matter hata kama ni Kahaba anahitaji Justice kama anavyohitaji yoyote yule mwingine...., kwahio hata adui yako akitekwa haiondoi ubaya wa utekaji
Hizo tofauti unazodai wewe zitashughulikiwa baada ya kutimiza lengo kuu, la kumwondoa Samia na Genge lake madarakani.
Naam jana JPM, leo Samia kesho atakayekuja (hao wote ni Chupa) kama hamtabadili mvinyo (Issues) mtaendelea kuwa madaraja ya watu kupata Kura kwenda Kula
Kwanza yeye ndiye kapalilia hayo makundi unayoyasema hapa.
Nimesema asitoke au anafaa ?!!! Kwahio unaamini kuna Makundi na yanabidi kuondoka ? na wa kuyaondoa ni wewe na mimi na yule kwa kugundua adui yako sio your fellow brother and sister bali issues na maadui zetu bado ni Umasikini, Ujinga na Magonjwa, na inabidi tupambane na yoyote anayewalea maadui hawa na kuwafanya waendelee kustawi (kwa kuendekeza ufujaji, rushwa pamoja na kutapakaza kodi zetu na urithi wa taifa la kesho) - Be it Samia au yoyote yule atakayekuja kesho au keshokutwa; and NOW na sio kungojea every next FIVE years ili kucheza betting ya kwamba huenda huyu ndiye...
 
Kabla hamjashikana mikono physically kwanza mshikane kwa kuwa na common goals ya mnachogombania nacho ni issues ambazo zinamsumbua kila mtu.., na mjifunze kuangalia issues na sio kuangalia mambo kwa miwani za Uchama, Udini au hata Ukabila
Haya ni maoni yako;( what you believe); siyo maoni ya mtu mwingine, ni yako.
Sasa unanitaka niangalie 'context' toka wapi?
Mkuu unavyosoma sentensi ukifikia kwenye nukta, na kuanza sentensi nyingine unasahau mwanzo wa sentensi iliyopita ? Unaelewa context ?
Unasema, "kabla hamjashikana mikono physically..." Unataka waTanzania wakafanye hayo yote unayoona wewe kuwa ya maana zaidi, halafu ndipo waje kushughulika na kuondoa utawala mwovu huu; umewawekea muda wa kuyafanya hayo unayoshauri wewe, unajuwa itachukuwa muda gani?

Kwa maana yako ni kuwa ni heri Samia Suluhu Hassan aendelee na uovu wake hadi hapo waTanzania watakapokuwa wamemaliza tofauti zao zote za mambo hayo uliyo yataja wewe?

Siamini kuwa una nia ya kumtetea Samia na Genge lake; lakini sikubaliani na maoni yako kama ulivyo yawasilisha hapa.
 
Haya ni maoni yako;( what you believe); siyo maoni ya mtu mwingine, ni yako.
Sasa unanitaka niangalie 'context' toka wapi?
Nimeongea maoni yangu ambayo yapo kwenye post yangu na context yake inajieleza nilichosema tofauti na wewe ulichojibu (sasa unataka usome post yangu na kuchukua context kutoka kwenye kichwa chako) ?
Unasema, "kabla hamjashikana mikono physically..." Unataka waTanzania wakafanye hayo yote unayoona wewe kuwa ya maana zaidi, halafu ndipo waje kushughulika na kuondoa utawala mwovu huu; umewawekea muda wa kuyafanya hayo unayoshauri wewe, unajuwa itachukuwa muda gani?
Unaweza vipi kufanya kitu physically kushikana mikono wakati mentally hamjagundua kwamba nyote mna common goals lakini mmezivika miwani za Uvyama; Udini na kila takataka ? Badala ya kupambana na common goals ambazo zinamgusa kila mtu mmejikita kwenye mediocrity ya differences zenu ambazo wala sio sababu ya shida zenu....

Kuhusu kupangia mtu muda wala sipangii (to each their own) ila ndio hivyo mtaendelea kugawanywa na kutawaliwa through your differences wakati nyote shida zinazowakumba hazichagui utofauti wenu....
Kwa maana yako ni kuwa ni heri Samia Suluhu Hassan aendelee na uovu wake hadi hapo waTanzania watakapokuwa wamemaliza tofauti zao zote za mambo hayo uliyo yataja wewe?
Hio maana umeitoa wapi ? Unachoongelea kumaliza tofauti zao ndio Tatizo lenyewe; bila kuondoa Uvyama, Udini na kila takataka inayotumiwa na watawala kuwatenganisha mtaendelea kupiga mark-time sababu hata atakayekuja atatumia tofauti hizo kuwagawa na kwa kumuongelea Samia pekee as a product ndio inaonyesha kwamba unaprone magugu badala ya kuyangoa (sababu ubovu wa Samia na hata atakayekuja kesho ni product) kwahio haipaswi jana wala juzi hata kesho kuridhika na upuuzi wowote unaofanyika be it kaufanya Samia au yoyote yule... Now the means of doing that might a debate to follow, ila bottom line bila kuondoa mzizi huu wa WAO na SISI mtaendelea kuruka ruka kama karanga kwenye kikaango huku kuni za kuwachoma zinabadilishwa kila zikiisha kwa kuleta nyingine....
Siamini kuwa una nia ya kumtetea Samia na Genge lake; lakini sikubaliani na maoni yako kama ulivyo yawasilisha hapa.
Kutokukubaliana na Maoni yangu that is your prerogative..., ila kutafsiri maoni yangu kwa mawazo yako na kutaka nikubaliane na tafsiri yako..., is going a bit far to say the least....
 
Nimeongea maoni yangu ambayo yapo kwenye post yangu na context yake inajieleza nilichosema tofauti na wewe ulichojibu (sasa unataka usome post yangu na kuchukua context kutoka kwenye kichwa chako) ?
Kama unajiandikia mwenyewe ili ujielewe unavyotaka na siyo kwa wasomaji wanavyo elewa kilicho andikwa; kwa nini uhangaike kukiandika!
 
Unaweza vipi kufanya kitu physically kushikana mikono wakati mentally hamjagundua kwamba nyote mna common goals lakini mmezivika miwani za Uvyama; Udini na kila takataka ? Badala ya kupambana na common goals ambazo zinamgusa kila mtu mmejikita kwenye mediocrity ya differences zenu ambazo wala sio sababu ya shida zenu....

Kuhusu kupangia mtu muda wala sipangii (to each their own) ila ndio hivyo mtaendelea kugawanywa na kutawaliwa through your differences wakati nyote shida zinazowakumba hazichagui utofauti wenu....
Unataka ""common goal" ya ziada ipi mbali na hiyo ya kumwondoa mwovu madarakani? Hicho ndicho kipaumbele kabla ya hayo mengine unayotaka yashughulikiwe kwanza.
Hio maana umeitoa wapi ?
Nimeitoa kwenye maandishi yako yanayohimiza hao wanaoshikana mikono kuyashughulikia hayo mengine yote unayotaka wewe kabla ya kugeuzia nguvu zao katika kumng'oa Samia na Genge lake.
Maneno yako yapo wazi hapo yalipo andikwa.
 
Kama unajiandikia mwenyewe ili ujielewe unavyotaka na siyo kwa wasomaji wanavyo elewa kilicho andikwa; kwa nini uhangaike kukiandika!
Kwahio unadhani naandika ili kila mtu aelewe anavyotaka yeye ? Mimi naandika nikiwa na maana fulani haujaelewa unauliza ukinganganiza maana yako iwe maana yangu sasa ungeandika wewe na sio mimi
 
Unataka ""common goal" ya ziada ipi mbali na hiyo ya kumwondoa mwovu madarakani? Hicho ndicho kipaumbele kabla ya hayo mengine unayotaka yashughulikiwe kwanza.
Naam nyie mnaotaka kumuondoa madarakani ni Haki yenu Kikatiba wale wanaotaka abaki ni haki yao Kikatiba pia kwahio ni kutafuta njia ya nyote nyie kuweza kuonyesha grivances zenu katika eneo la UMMA bila kuzuia Haki ya mwingine..., Lakini ndio hapo watawala wanapopenya wakati Ufujaji mali, na Uongozi mbaya una-affect kila mtu maisha yake lakini Kumuondoa fulani Madarakani huenda isiwe common kwa majority sababu mtaanza kupigania aingie nani ili na yaye aende Kula...; LAKINI Uongozi mbaya na shida zozote zinazosababishwa na aliyepo ni Common sababu at that instance sio sababu ni Nani bali sababu imegeuka kuwa matokeo (Hata kesho akija ambaye wewe unamuita ni wa Kwako bali utambana kama akileta Uongozi mbovu na sio Sababu ni WAO na sio SISI
Nimeitoa kwenye maandishi yako yanayohimiza hao wanaoshikana mikono kuyashughulikia hayo mengine yote unayotaka wewe kabla ya kugeuzia nguvu zao katika kumng'oa Samia na Genge lake.
Maneno yako yapo wazi hapo yalipo andikwa.
Aisee!!!!!! Mleta UZI kaleta hii Comment and I Repeat....

Siku ikifika kila mtu atashika mkono wa Jirani yake, watashikana na kuunda mnyororo wa watu nchi nzima
Na mimi nikajibu hivi...

Kabla hamjashikana mikono physically kwanza mshikane kwa kuwa na common goals ya mnachogombania nacho ni issues ambazo zinamsumbua kila mtu.., na mjifunze kuangalia issues na sio kuangalia mambo kwa miwani za Uchama, Udini au hata Ukabila - hio ndio silaha wanayotumia watawala (WAO na SISI) Case in Point hata humu ndani mnapigana wenyewe kwa wenyewe....

Now let me break it down Really Slowly......; Theme ni Siku ikifika Watu watashikana Mikono na Jirani yake (SISI) na kuunda myonyoro NCHI nzima..,; Sasa nadhani unajua a Chain is As Strong as it's Weakest Link; Bila kuondoa utofauti ambao umepandikizwa (haupo kiuhalisia bali ni mbinu za Watawala) hio Siku haitafika....... Lakini mkiwa na Common Goals (ambazo zipo na zinambana kila mtu ila we are too blind to See) mtaendelea kupigana wenyewe kwa wenyewe....
 
Yatafanyika JF😅
Kwani kwa mtu kama wewe kusema na kuamini hivyo ni jambo la kushangaza?

Wewe Jumanne Muliro akishasema neno ni kama msahafu kwako au siyo?
Hiyo mitutu ya akina Mulilro karibuni itageuziwa kwenu.
 
Naam nyie mnaotaka kumuondoa madarakani ni Haki yenu Kikatiba wale wanaotaka abaki ni haki yao Kikatiba pia kwahio ni kutafuta njia ya nyote nyie kuweza kuonyesha grivances zenu katika eneo la UMMA bila kuzuia Haki ya mwingine..., Lakini ndio hapo watawala wanapopenya wakati Ufujaji mali, na Uongozi mbaya una-affect kila mtu maisha yake lakini Kumuondoa fulani Madarakani huenda isiwe common kwa majority sababu mtaanza kupigania aingie nani ili na yaye aende Kula...; LAKINI Uongozi mbaya na shida zozote zinazosababishwa na aliyepo ni Common sababu at that instance sio sababu ni Nani bali sababu imegeuka kuwa matokeo (Hata kesho akija ambaye wewe unamuita ni wa Kwako bali utambana kama akileta Uongozi mbovu na sio Sababu ni WAO na sio SISI
Actually you're wasting my time.
Hii ni mizungushano ya kawaida sana. Pengine kutakuwepo na siku maalum nitakayokuwa na wakati wa kuzungushana hivi hivi bila ya kuwa na lengo maalum!

Huwa naweka ahadi kwa watu wa aina yako; kwa hiyo naahidi tutakutana tena.
 
Kwahio unadhani naandika ili kila mtu aelewe anavyotaka yeye ? Mimi naandika nikiwa na maana fulani haujaelewa unauliza ukinganganiza maana yako iwe maana yangu sasa ungeandika wewe na sio mimi
Sawasawa. Tuendelee na mengine ya muhimu zaidi kwa sasa hivi kuliko kupotezeana muda kama hivi tunavyofanya sasa.
Huu siyo muda mzuri wa mjadala wa hoja zisizokuwa na mbela wala nyuma kama huu.
 
Kuna watu wakipita kwenye huu uzi wanakunja sura km wamelishwa ndimu hawataki kusikia kabisa haya masuala
Inabidi tu wakubari.... tusipo fanya mabadiliko dunia itatusaidia kufanya mabadiliko...dunia nzima ipo kwenye kipindi cha mabadiliko...ndio maana hata trumps umeona amesema kutakuwa na bonding ya visa...!​
 
Kama pale kwa gwajima gari moja tuu la washawasha limepaki hapo hakuna dereva wala mlinzi hadi lile gari tyre zishaisha upepo hakuna muumini hata mmoja anaesogelea like kanisa mpaka leo kwa woga ndo useme 29 mtaandama?watanzania ni wanafiki hiyo tarehe ikofika kila mmoja utasikia akisema ugali mtamu kulikokifo😆
 
Back
Top Bottom