Maandamano ya waislam

Maandamano ya waislam

Status
Not open for further replies.
Kuachiwa huru waislam waliokamatwa kwa dhurma,wakina shekh Farid,Mselem,Mussa na Shekh Ponda na wenzakeeee
Nani kawadhulumu? Na kawadhulumu nini! Na kama kweli wamedhulumiwa! Jee haki inapatikana kwa dhulma au kwenda mahakamani?
 
Waislamu wakiamua hamna wakuwazuia
amueni kujenga shule na hospitali za maana tuwaone mnazo...eti waislamu wakiamua wanaweza...msijidanganye na viji karate mnavyofundishana kwenye misikiti/madrasa zenu, mtaumia!
 
Nadhani sio wote ambao tuna matatizo ya kufikiri. Hao wenzetu wanakwenda kufanya nini kwa Waziri Mkuu na anahusikaje na kukamatwa kwa Ponda? Kuna mambo ya maana ya kufanya sio kila wakati maandamano maana kama ni shida kila mmoja anazipata. Iweje wenzetu wakristo hawaandamani? Ina maana wao hawana shida? Ndugu zangu waislam, tujisahihishe la sivyo tunaonekana wazi kwamba sisi ni mbumbumbu kabisa. Nadhani majina yetu pia yanatusaliti kwa umamuma!
 
dhurma, ipi? acheni uvivu nyinyi.
 
kesho ka kawaida watakuwepo mgambo wa city wale hawaelewi ulikuja kufanya nini mjini hpa jaribuni muone
 
Mbona Maroun hueleweki? Ni kipi kinafanyika -maandamano au maandamano ya amani? Kama ni ya amani kipi unakiogopa? Lini waislam wameruhusiwa kuandamana kwa amani wakaleta fujo? Ukiwa mkweli utasiaidia jamii kutenda haki lkn kama utakuwa unaupendeleo fulani ujue utaisaidia jamii kutotenda haki:mimba::mimba:
 
Mkuu, kilicho jificha hapo hawasemi kweli kwamba wagalatia lazima waje kwenye uislamu, kama si hivyo walipe kodi ya jizya au wakatwe vichwa, rejea Q9:29! Na hilo haliwezekani abadan! Kwa sababu si kauli ya MMungu!

inasema hivi

SURA 9. SURATUT TAWBA 29. Enyi mlio amini! Mkimcha Mwenyezi Mungu atakupeni kipambanuo, na
atakufutieni makosa, na atakusameheni, na Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila
kubwa.

nadhani ulikusudia aya hii hapa chini


SURA 9. SURATUT TAWBA 39. Na piganeni nao mpaka isiwepo fitna na mateso, na Dini yote iwe kwa ajili ya
Mwenyezi Mungu. Lakini wakiacha, basi hakika Mwenyezi Mungu anayaona wanayo
yatenda.


mausia haya, yalikuwa kwa wale wasiokuwa na dini yaani uwaondoe WAKRISTO na WAYAHUDI. Kuthibitisha kuwa WAKRISTO hawahusiki na vita ya waislam dhidi ya watu wasiemwamini MUNGU ni kwenye aya hizi:-

SURA 2. SURA AL- BAQARA 62. Hakika Walio amini, na Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye
muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipwa
yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika.

sasawachoma makanisa na wanaoandamana kudai mchochezi aachiwe, sijui wanasoma kitabu gani
 
Sweke34 maneno yako si kistaarabu hata kidogo. Ndo jamii ipi mnaitaka ikiwa hamwezi kuona machungu ya jamii nyingine simply tu kwa sababu ya dini yako? Nadhani muhimu ni kushauri waislam wafanye nini si kukebei -ukjue kukichafuka nawe huna salama hata kidogo. Au nawe ni miongoni mwa wanaodhulumu haki za waislam ndo maana unafurahia mabaya yawapate? Watajengaje wakati unakumbatia dhuluma dhidi yao?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom