VIONGOZI UKAWA
Napenda kuleta pendekezo la kuandaa Maandamano (wakilishi) yaani yenye kushilikisha wadau kutoka kada mbali mbali na katika umoja wa ukawa,na taasisi za kiraia tupeleke ujumbe wetu kwa Mkiti wa Mabalozi wahisani MAMA Antila ujumbe uelezee kwa ufasaha jinsi Serikali inavokataa kuchukua hatua dhidi ya wale wote waliohusika na Mchezo Wa ESCROW.Na ujumbe utafsiri waziwazi kwamba serikali inakwepa kujichukulia hatua yenyewe maana viongozi wetu wanahusika hivyo wametusaliti
Ujumbe uambatane na mapendekezo yafatayo
1.Wale wote waliohusika katika mchezo huo wasiruhusiwe kuingia katika nchi wahisani
2.Wadau wote wa maendeleo waweke wapitishe Azimio la kutoshirikiana na watu hawa katika jambo lolote la kiserikali
3.Waendelee kubana misaada
Ujumbe huo upelekwe mapema, hatuwezi kuchezewa na wezi wachache tukae kimya HAPANA wananchi sisi ni wengi na wao ni wachache.tuchukue hatua
Napenda kuleta pendekezo la kuandaa Maandamano (wakilishi) yaani yenye kushilikisha wadau kutoka kada mbali mbali na katika umoja wa ukawa,na taasisi za kiraia tupeleke ujumbe wetu kwa Mkiti wa Mabalozi wahisani MAMA Antila ujumbe uelezee kwa ufasaha jinsi Serikali inavokataa kuchukua hatua dhidi ya wale wote waliohusika na Mchezo Wa ESCROW.Na ujumbe utafsiri waziwazi kwamba serikali inakwepa kujichukulia hatua yenyewe maana viongozi wetu wanahusika hivyo wametusaliti
Ujumbe uambatane na mapendekezo yafatayo
1.Wale wote waliohusika katika mchezo huo wasiruhusiwe kuingia katika nchi wahisani
2.Wadau wote wa maendeleo waweke wapitishe Azimio la kutoshirikiana na watu hawa katika jambo lolote la kiserikali
3.Waendelee kubana misaada
Ujumbe huo upelekwe mapema, hatuwezi kuchezewa na wezi wachache tukae kimya HAPANA wananchi sisi ni wengi na wao ni wachache.tuchukue hatua