Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 9,152
- 12,802
Nasisitiza migogoro baina ya Israel na wapelestina ipo kabla ya Netanyau yy amekuja kuwashikisha adabu tu, kweli Hamas ni wapuuzi maana huwezi kuanzisha vita ambayo huimudu, hata siku wakipewa hicho wanachokidai bado wataendeleza fujo kwa Israel Kwan Hizbollah huko Lebanon wanawadai nini Israel mbona hawaishi kuwindana Kila siku?Umeelewa kwanza nilichozungumza??
Katika viongozi wa Israel Netanyahu ndie kiongozi anaeongoza kuleta migogoro isio na kichwa wala miguu.
Huwezi kuita hamas wapuuzi ilhali wanatetea ardhi yao kijana.
Watu wameporwa ardhi yao na watoto zao hukamatwa na kufungwa jela za kijeshi wanawapambania we unawaita wajinga???
Kwa hiyo akili yako ndio naelewa kwanini Tanzania haiendelei licha ya kua na wasomi wengi.
Hao watoto kukamatwa kwao ni Neema zaid maana wanaenda kuhifadhiwa sehemu salama, Hamas ndio hawajali hao watoto na raia wengine maana huwezi kuchokoza mzinga wa nyuki Kisha ww ukakimbilia kwenye mahandaki kujificha ukaawaacha wenzio huku nyuma unategemea nini?