steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,092
- 1,433
Kama unahisi watanzania Ni watu wa ajabu Basi wa south Africa ni waajabu zaidi
Jamaa waamua kuandamana na kuchoma magari kisa walikuwa wanapewa umeme wa bure lakini Sasa wameambiwa walipie
Jamaa wameandman wanatak umeme wa bure
Jamaa waamua kuandamana na kuchoma magari kisa walikuwa wanapewa umeme wa bure lakini Sasa wameambiwa walipie
Jamaa wameandman wanatak umeme wa bure