G gwala Member Joined Feb 8, 2011 Posts 11 Reaction score 0 Apr 16, 2011 #1 Habari za asubui wana JF kulikuwa na taarifa za maandamano CDM leo. kwa mwenye taarifa ya kinachoendea atujuze jamani.
Habari za asubui wana JF kulikuwa na taarifa za maandamano CDM leo. kwa mwenye taarifa ya kinachoendea atujuze jamani.
H hoyce JF-Expert Member Joined Oct 26, 2010 Posts 1,117 Reaction score 298 Apr 16, 2011 #2 Inaelezwa magazetini kuwa yamefutwa baada ya muswada kuondolewa hati ya dharura, na kukubali ujadiliwe na waanchi zaidi na kuandikwa kwa kishwahili
Inaelezwa magazetini kuwa yamefutwa baada ya muswada kuondolewa hati ya dharura, na kukubali ujadiliwe na waanchi zaidi na kuandikwa kwa kishwahili
Ibrahim K. Chiki JF-Expert Member Joined Apr 5, 2011 Posts 594 Reaction score 163 Apr 16, 2011 #3 Yamehairishwa...hayatakuwepo tena coz muswada umetolewa maamuzi in favor ov umma...
M Malunde-Malundi JF-Expert Member Joined Jan 10, 2008 Posts 1,288 Reaction score 131 Apr 16, 2011 #4 upoo mkutano tabora n