Maandamano ya CHADEMA Korogwe

Maandamano ya CHADEMA Korogwe

DAMAS DAMIAN

Senior Member
Joined
Apr 8, 2011
Posts
115
Reaction score
54
Habari mwana Korogwe. Uongozi wa CHADEMA unakutaarifu kuwa siku ya Jumatano tarehe 24/09,kutakuwa na maandamano ya amani kupinga Bunge la katiba kuendelea kula fedha za wananchi.

Hivyo unatakiwa kuhudhuria saa nane mchana kwenye Ofisi yetu ya Chama iliyopo Mtaa wa Kirikiri- Manundu, ili tuandamane hadi uwanja wa Sokoni.

Wajulishe na wengine.

UONGOZI WA WILAYA
 
Poleni sana washamba wa Siasa mnaopelekeshwa na msiyoyajua. Nchi hii haiwezi kuendeshwa kwa maandamano. Watu wana kazi zao msiwapotezee muda kwa maandamano yasiyo na tija. Chukua familia yako na majirani mwende. Andaeni miili yenu kwani Polisi mmewadharau vya kutosha sasa hawatawavumilia. Bukoba msithubutu kutusumbua. Hiyo hela waliyopewa wakubwa zenu inawapa shida, Wachaga wanashiba na familia zao wewe utakufa na mabomu hakuna wa kukutetea. Shauri zako!
 
Habari mwana Korogwe. Uongozi wa CHADEMA unakutaarifu kuwa siku ya J. Tano tar 24.09. Kutakuwa na maandamano ya amani, kupinga Bunge la katiba kuendelea kula fedha za wananchi. Hivyo unatakiwa kuhudhuria saa Nane mchana kwenye Ofisi yetu ya Chama iliyopo Mtaa wa Kirikiri- Manundu, ili tuandamane hadi uwanja wa Sokoni. Wajulishe na wengine. UONGOZI WA WILAYA
You should be working at that time. That is why Tanzania is poor because of using your working time in such things "Politricks". How many working hours are you Tanzanians going to lose in totality?
 
You should be working at that time. That is why Tanzania is poor because of using your working time in such things "Politricks". How many working hours are you Tanzanians going to lose in totality?

wabongo kwa bwebwe kiingereza chenyewe hujui...kilaza kabisa wewe
 
Poleni sana washamba wa Siasa mnaopelekeshwa na msiyoyajua. Nchi hii haiwezi kuendeshwa kwa maandamano. Watu wana kazi zao msiwapotezee muda kwa maandamano yasiyo na tija. Chukua familia yako na majirani mwende. Andaeni miili yenu kwani Polisi mmewadharau vya kutosha sasa hawatawavumilia. Bukoba msithubutu kutusumbua. Hiyo hela waliyopewa wakubwa zenu inawapa shida, Wachaga wanashiba na familia zao wewe utakufa na mabomu hakuna wa kukutetea. Shauri zako!
taifa lenye wanaume waoga kama wewe lazima litakua maskini tu..COWARD
 
mie nahisi headings zinakosewa kidogo juu ya haya maandamano yanayoendelea,hivi kwa mfano kwanini msiandike maandamano ya Wananchi ...... kuliko kuandika ya Chadema tu,nasema hivi kwasababu haijalishi nani kayaandaa lakini nimeshuhudiwa wananchi tofauti wakiwa nyuma ya haya maandamano na pili Chadema ni means tu lakini sie wananchi ndo tumeyaomba maandamano na Chadema wakajitolea tu kutuonesha njia,na pia kuondoa umbea kwamba wanaoandamana ni Chadema kumbe ni wananchi wapenda maendeleo ya nchi yao
 
Vijana ni Taifa la kesho na uzalishaji ni muhimu zaidi ya ujinga wa kuandamana. Vijana tubuni kazi mbalimbali za kufanya, tuache kufanya kazi za wanasiasa kwani ni kazi yao. Kwao maisha yako JIONI. Funguka kijana, achana na kudanganywa kupoteza muda wako!
 
Poleni sana washamba wa Siasa mnaopelekeshwa na msiyoyajua. Nchi hii haiwezi kuendeshwa kwa maandamano. Watu wana kazi zao msiwapotezee muda kwa maandamano yasiyo na tija. Chukua familia yako na majirani mwende. Andaeni miili yenu kwani Polisi mmewadharau vya kutosha sasa hawatawavumilia. Bukoba msithubutu kutusumbua. Hiyo hela waliyopewa wakubwa zenu inawapa shida, Wachaga wanashiba na familia zao wewe utakufa na mabomu hakuna wa kukutetea. Shauri zako!

kama hujui nchi hii bila external pressure hakuna kinachofanyika!mpaka watu waje juu ndio jambo litendeke!
 
Vichaa mpo wengi. Umeandika nini?

Poleni sana washamba wa Siasa mnaopelekeshwa na msiyoyajua. Nchi hii haiwezi kuendeshwa kwa maandamano. Watu wana kazi zao msiwapotezee muda kwa maandamano yasiyo na tija. Chukua familia yako na majirani mwende. Andaeni miili yenu kwani Polisi mmewadharau vya kutosha sasa hawatawavumilia. Bukoba msithubutu kutusumbua. Hiyo hela waliyopewa wakubwa zenu inawapa shida, Wachaga wanashiba na familia zao wewe utakufa na mabomu hakuna wa kukutetea. Shauri zako!
 
Vijana ni Taifa la kesho na uzalishaji ni muhimu zaidi ya ujinga wa kuandamana. Vijana tubuni kazi mbalimbali za kufanya, tuache kufanya kazi za wanasiasa kwani ni kazi yao. Kwao maisha yako JIONI. Funguka kijana, achana na kudanganywa kupoteza muda wako!

fursa ziko wapi?unakimbilia kusema fanyeni kazi,njia mmemuonesha!kazi anayofanya kijana wa leo ni ya kupeleka mkono kinywani,hawezi kuweka akiba!
 
Kiingereza cha darasa la ngapi hiki? Bila shaka ni 'English for Beginners'. Ongeza juhudi utakuja kielewa.

You should be working at that time. That is why Tanzania is poor because of using your working time in such things "Politricks". How many working hours are you Tanzanians going to lose in totality?
 
Habari mwana Korogwe. Uongozi wa CHADEMA unakutaarifu kuwa siku ya J. Tano tar 24.09. Kutakuwa na maandamano ya amani, kupinga Bunge la katiba kuendelea kula fedha za wananchi. Hivyo unatakiwa kuhudhuria saa Nane mchana kwenye Ofisi yetu ya Chama iliyopo Mtaa wa Kirikiri- Manundu, ili tuandamane hadi uwanja wa Sokoni. Wajulishe na wengine. UONGOZI WA WILAYA

una baraka za polisi?
 
Ukikosa hekima unakuwa Mburas, BUNGE la katiba zimebaki siku zisizozidi 10 za Kazi, sasa unaandamana kukosa nini? NB. Bunge hili likisitishwa ndio itatugharimu zaidi... Ulizeni viongozi wenu logics Kabla ya kwenda kwenda tu Kama Makondoo.
 
UONEVU una mwisho makamanda kila heri mm naamini polisi wa ccm hawana uwezo wa kuzuia maandamano ya nguvu ya umma hata siku moja...kama Arusha polisiccm wamekuwa walinzi wa ofisi za chadema kila siku wanateseka sana tukianza maandamano hawana nguvu wa kushindana na ss wao wapo 55 ss tupo watu karibu laki tano huo mziki watauweza wapi wazalendo wenzangu msikate tamaa muda wa ukombozo umeshakaribia
View attachment 187494MUNGU IBARIKI CHADEMA NA WANACHAMA WAKE WOTE.
 
Kiingereza cha darasa la ngapi hiki? Bila shaka ni 'English for Beginners'. Ongeza juhudi utakuja kielewa.
A thinker will never waste his/her time with "Politricks" tricks. Get a life stop depending on politicians who are earning monies through your idiocy.
 
Poleni sana washamba wa Siasa mnaopelekeshwa na msiyoyajua. Nchi hii haiwezi kuendeshwa kwa maandamano. Watu wana kazi zao msiwapotezee muda kwa maandamano yasiyo na tija. Chukua familia yako na majirani mwende. Andaeni miili yenu kwani Polisi mmewadharau vya kutosha sasa hawatawavumilia. Bukoba msithubutu kutusumbua. Hiyo hela waliyopewa wakubwa zenu inawapa shida, Wachaga wanashiba na familia zao wewe utakufa na mabomu hakuna wa kukutetea. Shauri zako!
Tutaandamana kwa sababu ni haki yetu ya msingi wewe usi mshamba kaa nyumbani na wanao ungoje kuvimbishwa mihela na wezi mambazi wa CCM na wapiga dili mapedhess wa Magogoni sisi tuache tukombowe nchi kwa niaba yako na mama yako masikini wa kutupwa anaye chota maji Rambo moja na ng,ombe mbuzi, na punda
 
A thinker will never waste his/her time with "Politricks" tricks. Get a life stop depending on politicians who are earning monies through your idiocy.
You are just a naïve and a failed creature , why don't you burry yourself and be counted as a corpse how dare you cant organize your life politically ,you are a disguise to our nation
 
Poleni sana washamba wa Siasa mnaopelekeshwa na msiyoyajua. Nchi hii haiwezi kuendeshwa kwa maandamano. Watu wana kazi zao msiwapotezee muda kwa maandamano yasiyo na tija. Chukua familia yako na majirani mwende. Andaeni miili yenu kwani Polisi mmewadharau vya kutosha sasa hawatawavumilia. Bukoba msithubutu kutusumbua. Hiyo hela waliyopewa wakubwa zenu inawapa shida, Wachaga wanashiba na familia zao wewe utakufa na mabomu hakuna wa kukutetea. Shauri zako!
Nya-=********n umetumwa wewe hadi wachukue huyo mkeo wa ndani ndio utazinduka!! Grrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!!!!!!!!!!! I hate you!!
 
Back
Top Bottom