GE2025 Maandamano ya amani yafanyika Kariakoo kumpokea mgombea Udiwani

GE2025 Maandamano ya amani yafanyika Kariakoo kumpokea mgombea Udiwani

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Tuseme tu ni wanachama wa CCM Wameandamana kusaka kura Kariakoo:Alien::Alien::Alien:
-----------
Wananchi wa Kariakoo wamefanya maandamano ya amani kwa ajili ya kumpokea mgombea Udiwani wa Kata ya Kariakoo Haji Manara na mgombea Ubunge wa Jimbo la Ilala Mussa Zungu kwenye mkutano wa Kampeni unaoendelea kufanyika hivi sasa




Chanzo: Manara TV
 
Kufa kizembe kwa ajili ya hao watu ni matumizi mabaya ya uhai asee
 
Mbona wote wamevaa sare, inamaana wote wameshushwa na gari ili kuzunguka kuonyeshwa wanaungwa mkono?
 
Back
Top Bottom