howard
Senior Member
- Feb 21, 2011
- 188
- 28
Wakati huo huo, Chama cha Uzalishaji na Maendeleo Tanzania (TAMADA) kimesema kutokana na serikali kuwadharau wafanyabiashara wadogo wadogo wako tayari kufanya maandamano nchi nzima kuishinikiza serikali kuwajali wananchi wake.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mwenyekiti wa chama hicho, Abel Mwakabenga, alisema kuwa ni jambo la ajabu kwa serikali kutowajali wafanyabiashara wadogo licha ya kuwasilisha kilio chao kila kukicha.
Akizungumzia jengo la Machinga Complex, alisema kuwa wafanyabiashara wamekuwa na maisha magumu kutokana na kuwaweka katika mabanda mfano wa vibanda vya mbwa wa polisi huku wakiwa hawana mitaji ya kutosha na kodi kubwa wanayotozwa ili kuweza kufanya biashara katika mabanda hayo.
source: tanzania daima
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mwenyekiti wa chama hicho, Abel Mwakabenga, alisema kuwa ni jambo la ajabu kwa serikali kutowajali wafanyabiashara wadogo licha ya kuwasilisha kilio chao kila kukicha.
Akizungumzia jengo la Machinga Complex, alisema kuwa wafanyabiashara wamekuwa na maisha magumu kutokana na kuwaweka katika mabanda mfano wa vibanda vya mbwa wa polisi huku wakiwa hawana mitaji ya kutosha na kodi kubwa wanayotozwa ili kuweza kufanya biashara katika mabanda hayo.
source: tanzania daima