Maandamano marufuku Dar es Salaam

Maandamano marufuku Dar es Salaam

haa has woga wa lowasa.nashangaa sana pale viongozo wanaposhabikia uvunjwaji huu wa katiba waziwazi...
 
Ila huyo mkuu wa mkoa na kova lazima watoe maana halisi ya maandamano. Kwa sababu wanachama wa vyama kutoka katika kata au jimbo au tawi wanaweza wakawa wanakutania kwenye ofisi za matawi na baada ya hapo kuingia kwenye usafiri wa pamoja kuelekea kwenye eneo la tukio; na wakati wa kurudi ikawa vivyo hivyo; sasa je tafsiri ya hali hii ni maandamano? Tutaona CCM watafikaje jangwani hasa viongozi wao kama si wote kuanzia Lumumba; na wanachama wao kutoka maeneo tofauti kwa makundi.
 
Back
Top Bottom