Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Said Mecky Sadik amepíga marufuku maandamano ndani ya Dar es Salaam katika kipindi cha kampeni. Marufuku hiyo imepokewa na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,Kamanda Suleiman Kova.
Kamanda Kova ametamba kuwa wanao askari wa kutosha na wenye nguvu na ari kwakuwa ndiyo kwanza wametoka Depo. Amewaonya wananchi wasitende kinyume cha Sheria na kusababisha kukamatwa.
Chanzo: ITV Habari
Kamanda Kova ametamba kuwa wanao askari wa kutosha na wenye nguvu na ari kwakuwa ndiyo kwanza wametoka Depo. Amewaonya wananchi wasitende kinyume cha Sheria na kusababisha kukamatwa.
Chanzo: ITV Habari