Maandamano dhidi ya tume ya uchaguzi Kenya- Watanzania lipi la kusoma?.

simplemind

JF-Expert Member
Apr 10, 2009
16,409
9,183
Maandamano ya kushinikiza kujiuzulu tume ya uchaguzi Kenya kuendelea kesho Nairobi na miji mingine Kenya. Maandamano yanaongozwa na vinara wa CORD na KANU wakiwemo Raila, Kalanzo Musyoka , Moses Wetangula, Nick Saalat. Maandamano kila Jumatatu hadi tume kujiuzulu. Je watanzania tuna lipi la kusoma hapa?IEBC protests take new twist as Kalonzo alleges evil plot
 
La kusoma na la kujifunza ni kwamba katiba bila nidhamu is just another toilet paper with inks.
 
La kusoma na la kujifunza ni kwamba katiba bila nidhamu is just another toilet paper with inks.
The people will always prevail. Information is at the finger tips ,wanafiki wataumbuka.
 
Back
Top Bottom