![]()
Hawa wana hatari hawa!! akiwaponyoka huyo aliye mbele yale atakoma!!
wakitoka hapo wanaenda kuchoma mishikaki esp k/koo ndo tabia zao hizo.
mkuu saudari jamaa wa nyuma mbona kama anamchohea huyo mkatoliki.
Mama yangu hapa kwetu iringa au? Wema nae hajachinja wake?