Asante mkuu kwa mawazo yakoPete ni ujinga tu,kuna mijitu ilitaka kukonga nyoyo na mahawara zao wanavua pete eti za ndoa,kisa zimebarikiwa na kiongozi wa dini,pumbaaaavu kabisa,yaani baada ya kumuogopa mungu yanaogopa pete.
Pete ni ujinga mtupu,eti pete ya ndoa,sijui ya uchumba.
Mwenye hoja aje.
Umechangia kwa Ukali...Pete ni ujinga tu,kuna mijitu ilitaka kukonga nyoyo na mahawara zao wanavua pete eti za ndoa,kisa zimebarikiwa na kiongozi wa dini,pumbaaaavu kabisa,yaani baada ya kumuogopa mungu yanaogopa pete.
Pete ni ujinga mtupu,eti pete ya ndoa,sijui ya uchumba.
Mwenye hoja aje.
Khaaa hasira zoote izo za nn mkuuPete ni ujinga tu,kuna mijitu ilitaka kukonga nyoyo na mahawara zao wanavua pete eti za ndoa,kisa zimebarikiwa na kiongozi wa dini,pumbaaaavu kabisa,yaani baada ya kumuogopa mungu yanaogopa pete.
Pete ni ujinga mtupu,eti pete ya ndoa,sijui ya uchumba.
Mwenye hoja aje.
Wakuu mimi naomba kuuliza hivi mtu ukivishwa pete haijalishi ya uchumba au ndoa na mpenzi wako ni anamaanisha anakupenda sana?
Upendo unajengwa na commitment na accountability. Hivyo commitment na accountability huongozwa na sheria.Hata cheti cha ndoa ni ujinga tu mtu kama anakupenda anakupenda tu akikuchoka hata huo mkataba mliosanishana haun maana unless lengo liwe ki secure mali msije dhulumiana.
Maana inafikia wakati wengine mpaka zinawachimba vidole hata kutoa hawataki...Maisha hayana fomula Mkuu,Kuvishana pete yeyote ni imani ambayo Binafsi sitokaa niielewe kulingana na tukio lenyewe lilivyo.Swali langu ni hivi,Kama sina vidole ina maana nisioe kwakuwa sitovalisha/sitovalishwa pete??
Ndiyo maana vilema na vipofu wanadumu kwa muda mrefu katika mahusiano yao pamoja na kuishi muda mrefu kuliko sisi wenye vidole na pete karibu vidole vyote.
Wakati mwingine nawaza kuwa ni kujiweka katika vifungo fulani hivi ambavyo mwisho wa siku ni taabu na matatizo.
Kuvalishana pete hakuna maana kuwa ni kupenda/kupendwa sana,Ni utamaduni tu tuliourithi kwa waliotutangulia ambao wengi wetu hatuuelewi.
Hakujatofautiana sana na Kuzika watu kwa kutumia majeneza.Tuna ardhi kubwa pamoja na Mbao za kutosha hivyo ni sawa tu,Tusingekuwa na ardhi pamoja na Mbao tusingezika watu ardhini wala kutumia majeneza.Ni utamadunu fulani tu,Hauna maana rasmi.