Mdau - Hio ni kawaida kabisa kwa hizi Bar & Restaurant zetu!!! Huduma kwa wateja ni sifuriiiiiii kabisa!!!!! Kwasasa hata hizi bar za uswasi hususani huku kanda ya kaskazini kuna Wakenya kibao wafanya hizo kazi sababu wabongo hawana customer service skills!
Customer Service ni donda ndugu huku bongo.......