Mchungaji alikuwa akifungisha ndoa kati ya mashoga wawili.Akashindwa kuamua nani aitwe mke na nani mume.Baada ya kutafakari kwa muda,mchungaji akasema;Man and Man,i now pronounce you Man United!
hahhahah me nawashangaa sana hawa washika Gobole Arsenal, badala ya kutafakari nane nane yao wao wamehama club na kujiunga na Man City? Poa karibuni nyumbani Manchester
hahhahah me nawashangaa sana hawa washika Gobole Arsenal, badala ya kutafakari nane nane yao wao wamehama club na kujiunga na Man City? Poa karibuni nyumbani Manchester
Mchungaji alikuwa akifungisha ndoa kati ya mashoga wawili.Akashindwa kuamua nani aitwe mke na nani mume.Baada ya kutafakari kwa muda,mchungaji akasema;Man and Man,i now pronounce you Man United!
Man U na Man city ni ki2 kimoja ila wa2 wanakosea kutamka. Inatakiwa waseme Man limited na siyo united kwan wao basi lao hukalia city ndiyo maana ikatokea Man city.