ERIC JOSEPH JF-Expert Member Aug 10, 2011 567 55 Nov 27, 2012 #1 Ndg zngu napenda kujua je nì jinsi gani? naweza kujua maana ya majina
MD25 JF-Expert Member Jan 28, 2012 3,074 1,018 Nov 27, 2012 #2 ERIC JOSEPH said: Ndg zngu napenda kujua je nì jinsi gani? naweza kujua maana ya majina Click to expand... Inategemea ni jina gani (la asili au kizungu). haya ya kiswahili muulize bibi au babu. lakini haya mengine, usiumize kichwa ka-google mkuu..
ERIC JOSEPH said: Ndg zngu napenda kujua je nì jinsi gani? naweza kujua maana ya majina Click to expand... Inategemea ni jina gani (la asili au kizungu). haya ya kiswahili muulize bibi au babu. lakini haya mengine, usiumize kichwa ka-google mkuu..
Mwana Mtoka Pabaya JF-Expert Member Apr 22, 2012 15,118 16,470 Nov 27, 2012 #3 ERIC JOSEPH said: Ndg zngu napenda kujua je nì jinsi gani? naweza kujua maana ya majina Click to expand... Google meen!
ERIC JOSEPH said: Ndg zngu napenda kujua je nì jinsi gani? naweza kujua maana ya majina Click to expand... Google meen!
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,891 155,895 Nov 27, 2012 #4 ERIC JOSEPH said: Ndg zngu napenda kujua je nì jinsi gani? naweza kujua maana ya majina Click to expand... La kizungu au laki bantu?
ERIC JOSEPH said: Ndg zngu napenda kujua je nì jinsi gani? naweza kujua maana ya majina Click to expand... La kizungu au laki bantu?
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,891 155,895 Nov 27, 2012 #5 kama unataka kujua maana ya jina la kibantu unagugo kienyeji... Gugo ya kienyeji ni RAMLI
charger JF-Expert Member Nov 21, 2010 2,320 1,370 Nov 27, 2012 #6 kwa mfano Bujibuji ni jina lilitokea maeneo ya kongo huko maana yake mlo special kabisa ambao ni uji na samaki mchemsho
kwa mfano Bujibuji ni jina lilitokea maeneo ya kongo huko maana yake mlo special kabisa ambao ni uji na samaki mchemsho
ERIC JOSEPH JF-Expert Member Aug 10, 2011 567 55 Dec 1, 2012 Thread starter #7 Bujibuji said: La kizungu au laki bantu? Click to expand... La wenzetu wa huko mbali ya mashariki ya mbali si unajua asilimia kubwa tunatumia majina ya wenzetu wa ulaya 0
Bujibuji said: La kizungu au laki bantu? Click to expand... La wenzetu wa huko mbali ya mashariki ya mbali si unajua asilimia kubwa tunatumia majina ya wenzetu wa ulaya 0