Radium
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 490
- 871
Sio 1942 tena, na hauhitaji nguo za magome na ndevu nyingi ndo uelewe kuwa ni vitu vinne vinayapa maana maisha yako.
#Cha kwanza
KISAIDIA WATU
Maisha yasiyo na maana kuliko yote inabidi yawe yale ya kwenda milimani ulime mazao uvune vizuri ule peke yako, ni sawa na kiviringisha jabali siku nzima kwasababu kufanya maisha yawe na maana ni kufanya kitu chenye faida kwa watu wengine tu.
Mara nyingi tunafikiri kitu kizuri ni kuhudumiwa, lakini hiyo wala haikaribii furaha ya kuwahudumia wengine. Kuwapa faraja ya moyo kuwaambia kila kitu kitakuwa sawa kuwaambia hata wewe yalishakukutaga kuwaambia pole
Kuwafundisha trigonometry, kuwaambia hata wewe logarithm na exponents ulikuwa huiwezi.
Kuwaambia mfuko wako wa nyuma umechomoka kuwaambia wameegemea vumbi wajikung'ute kuwaonesha kichekesho.
#Maana ya maisha ni kutengeneza kitu bora kuliko sisi.
Wote sisi ni misala tupu wahovyo wasahaulifu waoga wenye hasira za kijinga, hivyo kuna maana kubwa kutengeneza kitu superior. Treni yenye mpangilio mzuri zaidi, bustani zinavutia kuliko sisi, kitabu kinasema mambo ambayo hayawezekani kutekelezeka,....
# Kujua jinsi vitu vinafanya kazi pia ni maana
Gravity ,lugha ya kigeni, code za computer na muhimu zaidi sisi ni nani, tunataka nini na nini kinatuedhesha, na je tueke malengo gani.
#Maana ya maisha hutokana na muunganiko na watu wengine.
Kinyume cha maongezi ya juu ni wewe kusema mambo ambayo yanakuuma rohoni au ninini ulifanya ukajiona umejiaibisha, yale mambo unayoogopa kusema kw watu.
Mbinu pekee ya kuanzisha mawasiliano ya maana we uliza tu "ninini kweli unachoogopa?"
SO THAT IS THE MEANING OF LIFE
#Cha kwanza
KISAIDIA WATU
Maisha yasiyo na maana kuliko yote inabidi yawe yale ya kwenda milimani ulime mazao uvune vizuri ule peke yako, ni sawa na kiviringisha jabali siku nzima kwasababu kufanya maisha yawe na maana ni kufanya kitu chenye faida kwa watu wengine tu.
Mara nyingi tunafikiri kitu kizuri ni kuhudumiwa, lakini hiyo wala haikaribii furaha ya kuwahudumia wengine. Kuwapa faraja ya moyo kuwaambia kila kitu kitakuwa sawa kuwaambia hata wewe yalishakukutaga kuwaambia pole
Kuwafundisha trigonometry, kuwaambia hata wewe logarithm na exponents ulikuwa huiwezi.
Kuwaambia mfuko wako wa nyuma umechomoka kuwaambia wameegemea vumbi wajikung'ute kuwaonesha kichekesho.
#Maana ya maisha ni kutengeneza kitu bora kuliko sisi.
Wote sisi ni misala tupu wahovyo wasahaulifu waoga wenye hasira za kijinga, hivyo kuna maana kubwa kutengeneza kitu superior. Treni yenye mpangilio mzuri zaidi, bustani zinavutia kuliko sisi, kitabu kinasema mambo ambayo hayawezekani kutekelezeka,....
# Kujua jinsi vitu vinafanya kazi pia ni maana
Gravity ,lugha ya kigeni, code za computer na muhimu zaidi sisi ni nani, tunataka nini na nini kinatuedhesha, na je tueke malengo gani.
#Maana ya maisha hutokana na muunganiko na watu wengine.
Kinyume cha maongezi ya juu ni wewe kusema mambo ambayo yanakuuma rohoni au ninini ulifanya ukajiona umejiaibisha, yale mambo unayoogopa kusema kw watu.
Mbinu pekee ya kuanzisha mawasiliano ya maana we uliza tu "ninini kweli unachoogopa?"
SO THAT IS THE MEANING OF LIFE

