Maana ya haya maneno

Maana ya haya maneno

kagombe

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2015
Posts
3,624
Reaction score
1,826
Habarini,waungwana...Mimi ningehitaji kupewa ufahamu au maana ya haya maneno yaani UJINGA na UPUMBAVU tofauti yake ni IPI?karibuni wadau na wataalamu Wa lugha
 
Habarini,waungwana...Mimi ningehitaji kupewa ufahamu au maana ya haya maneno yaani UJINGA na UPUMBAVU tofauti yake ni IPI?karibuni wadau na wataalamu Wa lugha
UJINGA ni kutokujua but unajua kwamba hujui.

UPUMBAVU ni kujifanya unajua kumbe hujui na hiyo inapelekea hata usijijue kwamba haujui.
 
1. Mjinga ni mtu asiefahamu jambo fulani. Kwamba hana knowledge kuhusu jambo fulani. Mjinga akielimishwa anabadilika na kuwa mwerevu.

Literally kama hujui kuhusu mambo ya uchumi, wewe ni mjinga kwenye uchumi. Kwa lugha ya malkia wanasema 'ignorant' / 'illiterate'.

2. Mpumbavu ni mtu ambaye akili yake hata aleweshwe vipi hawezi kuelewa. Tofauti yake na mjinga ni kuwa, mjinga akieleweshwa anaelimika ila mpumbavu habadiliki chochote.

Mpumbavu literally ni mtu asiweza kuelewa simple logic, hana cognitive ability n.k.. Yani huyu kikiingia sikio moja kinatokea la pili. Kwa lugha ya malkia wanamwita 'fool'
 
1. Mjinga ni mtu asiefahamu jambo fulani. Kwamba hana knowledge kuhusu jambo fulani. Mjinga akielimishwa anabadilika na kuwa mwerevu.

Literally kama hujui kuhusu mambo ya uchumi, wewe ni mjinga kwenye uchumi. Kwa lugha ya malkia wanasema 'ignorant' / 'illiterate'.

2. Mpumbavu ni mtu ambaye akili yake hata aleweshwe vipi hawezi kuelewa. Tofauti yake na mjinga ni kuwa, mjinga akieleweshwa anaelimika ila mpumbavu habadiliki chochote.

Mpumbavu literally ni mtu asiweza kuelewa simple logic, hana cognitive ability n.k.. Yani huyu kikiingia sikio moja kinatokea la pili. Kwa lugha ya malkia wanamwita 'fool'
Sikilizia neno la baba yetu wa taifa.View attachment VID-20181025-WA0026.mp4
 
Back
Top Bottom