AP: Umoja wa Afrika umetoa nafasi ya mwezi mmoja kutafuta mstakabali kuhusu urais wa Ivory Cost - kati ya mng'ang'ania madaraka - Gbagbo - na ALIYESHINDA KIHALALI - Alassane Ouattara..... Ukweli ni kwamba ukweli uko wazi (mshindwa nani na mshindi nani), na kama ni haki haipaswi kuombwa bali kuchukua kama tulivofanya ANJOUAN (COMORO)- hasa kwa kutumia chombo kilichopewa baraka za bara zima kama AU- Sasa:
- Je, kuna sababu za kuendelea kukiamini chombo hiki katika kudumisha demokrasia ya africa kwa maana ya serikali ya watu iliyowekwa na watu kwa maslahi ya watu???!!!
- Ni sawa kui-branch organization hii kama chombo cha kubebana kwa wakamia madaraka wa bara hili- you scratch mine, I scratch your's - so tukubali kushinwa (tuwe pessimistic) au tutafute otenative?
- Tunaanzia wapi - short & long term?