MAAMUZI MENGINE BHANA!

Hahaaaaaaaa...... umenikumbusha jamaa yangu mmoja aliota katumia pesa nyingi sana, kwa kuhofia kuota akitumia pesa jamaa hakulala tena
 
Sawa na yule mwenye Tv flat kubwa ya ukweli, kaota wezi wamemuibia, alivyo amka faster akaiuza kwa bei ya hasara akisema wakose wote maana mwizi akichukua hata pata hata hiyo buku 50 alopata kwa tv ya m1.5
 
Sawa na yule mwenye Tv flat kubwa ya ukweli, kaota wezi wamemuibia, alivyo amka faster akaiuza kwa bei ya hasara akisema wakose wote maana mwizi akichukua hata pata hata hiyo buku 50 alopata kwa tv ya m1.5

Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Jamaaa alilala na demu bila condom kwa vile alilewa, baaada ya shughuli ndio akakumbuka kuwa ipo mfukoni, akamwambia demu turudie na kondom ili tukinge maambukizi kama yapo ya gemu lililopita
 
Back
Top Bottom