Nataka nifanye maamuzi magumu ya kutengana na mke wangu

BABA LEA WATOTO

JF-Expert Member
May 6, 2017
338
722
Members naomba tu niandike kwa ufupi naamini mtanielewa na kama kuna ushauri nakaribisha.

Tumebahatika kupata mtoto mmoja 5yrs now, wote ni watumishi.

2013 akaomba nimsaidie kumtafutia shule mdogo wake wa kiume arudie kidato cha pili baada ya kufeli form four na kukaa nyumbani miaka karibu mitatu nikafanya hivyo, baada ya muda shemeji akaanza dharau na kiburi kwangu tena mbele ya Dada yake, nikilalamika Dada mtu anachukulia poa, nikavumilia baada ya muda mfupi kapigwa suspension akapiga magoti nimsaidie asifukuzwe shule, nilipoona habadiliki nikajitoa kumsaidia but ilikuwa ni baada ya Dada yake kusema kama naona taabu ye atalipa ninamsema sana mdogo wake.

Dogo kamaliza na division 3 point 26, wakaomba chuo cha afya government wakakosa, huruma ikanijia nikamwambia Dada mtu aende private kidato cha tano akakataa akakomalia kuwa anampeleka chuo cha afya private kama 4 million ada na mahitaji mengine nikamwambia haitawezekana hali ni ngumu kiuchumi aende advance.... nikaambulia matusi kuwa nina "gubu" na maendeleo ya mdogo wake na nisijali yeye na ndugu zake watalipa ( by this time tulikuwa tupo mbali sababu za uhamisho), mi nikaona nisiingilie ndugu.

Kumbe hakuna lolote yeye ndo mlipaji wa kila kitu, nikaja jua baadaye kuwa amekopa bank bila kunijulisha na pesa sijajua kafanyia nini kumuuliza anasema anasomesha......sijakaa sawa kumbe alikokuwa mwanzo kakopa pesa za watu million mbili kwa ajili ya jambo hilo na hajarejesha hadi sasa pamoja na riba inafika nearly 4 million.

Ametoa mimba ili aweze kujikeep busy na biashara nje ya kazi ili kuweza kugharamia masomo ya mdogo wake nilipobaini anasema maisha magumu tusubiri kwanza nilipombana anasema bahati mbaya....uwongo...

Nilisafiri nikarudi ghafla bila taarifa nakuta anaongea na mwanaume kwa simu SAA saba usiku tena anamwomba amsaidie pesa alipe ada......

Mbaya zaidi nyumbani kwangu amegoma kusaidia chochote anasema si kazi yake kufanya majukumu ya kifamilia Mimi kama baba natakiwa nitekeleze kila kitu akifanya ni huruma tu.....

Kila linaloendelea kwangu anawajulisha ndugu zake ( baba, mama na Dada zake), nikichukua hatua hata za kumzaba kidogo ili tuheshimiane basi kesho asubuhi kama ilikuwa ni usiku ntapokea simu za hao watu wakinishutumu nikiwaeleza yaliyojili inaonekana mi ndo nakosea....

Amesafir kikazi wiki ya tatu sasa simu hapokei, SMS, hajibu akipokea haongei....

Namsubir arudi niite ndugu pande zote mbili niwambie nimeshindwa....kweli wanaume tumeumbwa mateso!!
 
Haya mambo ya ndoa haya kila mtu anaugulia kivyake

Mkuu usikurupuke kwanza kumuacha mkeo ebu kaeni chini kwanza mmalize tofauti zenu

Tatizo kwenye ndoa yenu kila mmoja yupo juu hilo ndio tatizo kubwa mwanamke ana sauti kumzidi baba
 
Haya ndiyo madhara ya wanaume kupiga magoti wakati wa kuwavisha pete wake zao. Unapandwa kichwani since day one.

Wewe hapo hukuoa uliolewa, fukuza haraka sana uende kanisani ukajichagulie mtoto mbichi mkali sana atakayesuuza moyo wako.
 
Sijui kwann niliumbwa kwa akili ya kuchunguza... Ningekua mm kwanza ningekua nmeshachunguza uhalali wa hiyo kazi, wiki tatu , hapokei simu ,nkazi gan?? Kaenda na akina nan..kwann huongei nahao akina nanani.

Ningechunguza kiasi kwamba ningegundua kua,yupo kwa huyo mwanaume alokua anamuomba hela usiku wa manane.


AMINI AMIN NAKUAMBIA ,HAPA DUNIAN MAHITAJI MAKUBWA ANAYOTAKA MWANAUME TOKA KWA MKEWE NI
HESHIMA HESHIMAAA
SEX


....... Inawezekana kabisa , wee unakoswa yote hayo. Au unapata sex lkn unakoswa eshima ,au vyote kwapamoja kwa wakat mmoja.

Huyo dem inawezekana kwao ndo mtoto wa kwanza( Wanakuaga ni Matatizo).



SERIOUS,,USIPOKUA MWANAUME, UTAKUFA SIKU SIO ZAKO.


Kitendo cha mke wako, kutopokea simu, anakuta missed call lkn hakujulish .......... Kwangu angekua kanipa sababu ya kuachana naye.

Ni dharau za kiwango cha Kimataifa.
 
Huo ni upuuzii yaani naamini asilimia 100% mimi nimezaliwa tofauti na wanaume wengine karibia wote na spiece yangu sijui kama bado ipo hapa sayari ya earth...

Kama Trump aliweza kuvunja mkataba wa Nuclear na Iran, sembuse huyo malaya ushindwe kumfekelea mbali big no...

Kama Magufuli aliweza kuvunja mkataba na ACACIA sembuse ushindwe kumwacha huyo mwanamke malaya?

Kama Uingereza wanaachana na umoja wa ulaya BRIEXT kwako imeshindikana nn kumfekelea mbali huyo mwanamke


Kwani huyo mwanamke ni mama yako?


Aaaaaaaaarrrrrrrgggggg........ Jamani mm nitavumilia mambo yote ila siyo huuu upimbi nafukuza walai kama hii kesi ingewezekana ukaniuzia yaaani nampiga mtu shoka la utozi
 
Members naomba tu niandike kwa ufupi naamini mtanielewa na kama kuna ushauri nakaribisha.

Tumebahatika kupata mtoto mmoja 5yrs now, wote ni watumishi.

2013 akaomba nimsaidie kumtafutia shule mdogo wake wa kiume arudie kidato cha pili baada ya kufeli form four na kukaa nyumbani miaka karibu mitatu nikafanya hivyo, baada ya muda shemeji akaanza dharau na kiburi kwangu tena mbele ya Dada yake, nikilalamika Dada mtu anachukulia poa, nikavumilia baada ya muda mfupi kapigwa suspension akapiga magoti nimsaidie asifukuzwe shule, nilipoona habadiliki nikajitoa kumsaidia but ilikuwa ni baada ya Dada yake kusema kama naona taabu ye atalipa ninamsema sana mdogo wake.

Dogo kamaliza na division 3 point 26, wakaomba chuo cha afya government wakakosa, huruma ikanijia nikamwambia Dada mtu aende private kidato cha tano akakataa akakomalia kuwa anampeleka chuo cha afya private kama 4 million ada na mahitaji mengine nikamwambia haitawezekana hali ni ngumu kiuchumi aende advance.... nikaambulia matusi kuwa nina "gubu" na maendeleo ya mdogo wake na nisijali yeye na ndugu zake watalipa ( by this time tulikuwa tupo mbali sababu za uhamisho), mi nikaona nisiingilie ndugu.

Kumbe hakuna lolote yeye ndo mlipaji wa kila kitu, nikaja jua baadaye kuwa amekopa bank bila kunijulisha na pesa sijajua kafanyia nini kumuuliza anasema anasomesha......sijakaa sawa kumbe alikokuwa mwanzo kakopa pesa za watu million mbili kwa ajili ya jambo hilo na hajarejesha hadi sasa pamoja na riba inafika nearly 4 million.

Ametoa mimba ili aweze kujikeep busy na biashara nje ya kazi ili kuweza kugharamia masomo ya mdogo wake nilipobaini anasema maisha magumu tusubiri kwanza nilipombana anasema bahati mbaya....uwongo...

Nilisafiri nikarudi ghafla bila taarifa nakuta anaongea na mwanaume kwa simu SAA saba usiku tena anamwomba amsaidie pesa alipe ada......

Mbaya zaidi nyumbani kwangu amegoma kusaidia chochote anasema si kazi yake kufanya majukumu ya kifamilia Mimi kama baba natakiwa nitekeleze kila kitu akifanya ni huruma tu.....

Kila linaloendelea kwangu anawajulisha ndugu zake ( baba, mama na Dada zake), nikichukua hatua hata za kumzaba kidogo ili tuheshimiane basi kesho asubuhi kama ilikuwa ni usiku ntapokea simu za hao watu wakinishutumu nikiwaeleza yaliyojili inaonekana mi ndo nakosea....

Amesafir kikazi wiki ya tatu sasa simu hapokei, SMS, hajibu akipokea haongei....

Namsubir arudi niite ndugu pande zote mbili niwambie nimeshindwa....kweli wanaume tumeumbwa mateso!!
Wanasema tuishi nao kwa akili lkn due kuna mda akili inahitaji msaada WA calculator kwann ukonde sbb ya mwanamke mungu katupatia 2/3 hvyo inaweza chagua kila ck bila kumaliza
 
Huo ni upuuzii yaani naamini asilimia 100% mimi nimezaliwa tofauti na wanaume wengine karibia wote na spiece yangu sijui kama bado ipo hapa sayari ya earth...

Kama Trump aliweza kuvunja mkataba wa Nuclear na Iran, sembuse huyo malaya ushindwe kumfekelea mbali big no...

Kama Magufuli aliweza kuvunja mkataba na ACACIA sembuse ushindwe kumwacha huyo mwanamke malaya?

Kama Uingereza wanaachana na umoja wa ulaya BRIEXT kwako imeshindikana nn kumfekelea mbali huyo mwanamke


Kwani huyo mwanamke ni mama yako?


Aaaaaaaaarrrrrrrgggggg........ Jamani mm nitavumilia mambo yote ila siyo huuu upimbi nafukuza walai kama hii kesi ingewezekana ukaniuzia yaaani nampiga mtu shoka la utozi
Sio ww tu...bado tupo ambao ujinga hatupendi .
 
Haya ndiyo madhara ya wanaume kupiga magoti wakati wa kuwavisha pete wake zao. Unapandwa kichwani since day one.

Wewe hapo hukuoa uliolewa, fukuza haraka sana uende kanisani ukajichagulie mtoto mbichi mkali sana atakayesuuza moyo wako.
 
Back
Top Bottom