Maambukizi 0.1 Mashariki ya kati na Afrika kaskazini

Kikwajuni One

JF-Expert Member
Mar 18, 2013
13,142
6,947
Ukilinganisha maambukizi ya ya Ukosefu wa Kinga Mwilini(UKIMWI),kati ya nchi za mashariki ya kati na Afrika iliyo kusini mwa jangwa la Sahara ya 5%,kuna utofauti mkubwa sana.Kwa nini tusifuate njia wanazotumia nchi hizi zenye kiwanho kidogo cha maambukizi,ili kupunguza maambukizi ya ugonjwa huu hatari.
 
Back
Top Bottom