simplemind JF-Expert Member Joined Apr 10, 2009 Posts 16,699 Reaction score 9,591 Oct 27, 2015 #1 So far so good.Tuzidishe dua. Let justice prevail.
sumuyu2000 Member Joined Jan 16, 2012 Posts 7 Reaction score 1 Oct 27, 2015 #2 Eti wanasema hawayatambui matokeo na uchaguzi urudiwe Zanzibar... Walishasahau miaka ile... wacha mje Kwenye baraza la.wawakilishi mfanye mgomo... Tukutanr barazani... Tume fanyeni.wajibu wenu haraka mda unazidi kuyoyoma na Njama za hujuma zinazidi kuandaliwa.na wafamaji...
Eti wanasema hawayatambui matokeo na uchaguzi urudiwe Zanzibar... Walishasahau miaka ile... wacha mje Kwenye baraza la.wawakilishi mfanye mgomo... Tukutanr barazani... Tume fanyeni.wajibu wenu haraka mda unazidi kuyoyoma na Njama za hujuma zinazidi kuandaliwa.na wafamaji...
J Julius Kerenge Member Joined Mar 7, 2015 Posts 81 Reaction score 34 Oct 27, 2015 #3 Malofa na wapumbavu kama kawaida yetu tumerudisha matajiri na wajanja madarakani pole sana wandugu.