Mimi nadhani maelezo ya maalim yanajitosheleza. Sikuwahi kusikia habari hizi kbla. Ila nichukue nafasi hii kumuuliza jambo moja...hivi siku ya uhuru wa Zanzibar mbona hatuifahamu? Huadhimishwa lini? Au kupindua nchi ndio wakaondoa siku ya uhuru wakaweka ya kuadhimisha kupindua dola ya mwanzo?
kuufyata maana yake unajua? kama hujui basi pitia hansad za bunge maalum la katiba utaona namna Asha bakari alivyofafanua kwa mifano.kati ya viongozi walioko Serikalini Maalim SEIF NI KIONGOZI MCHAPAKAZI, HODARI NA ASIEKUBALI KUUFYATA.
kuufyata maana yake
unajua? kama hujui basi pitia hansad za bunge maalum la katiba utaona
namna Asha bakari alivyofafanua kwa mifano.
Hongera maalim kwa kutuwekea bayana tuhuma
Watu wengi walidai eti ulimsaliti jumbe ,kumbe alikuwa na hila dhidi yenu.kujihami kunakubalika hata kwa kuvunja kanuni