Maalim Seif Sharrif Hamad kumbe naye English yake ni shiiiiiida!

Musoma

Senior Member
Oct 12, 2010
137
221


Ndugu zangu Watanzania hiki kiswahili cha Dunia (English) kweli kinatutesa na hasa Viongozi wetu wakubwa wa kisiasa!

Na hii ni kutokana na tabia zetu za "kiswahili" za kutopenda kujisomea ! Viongozi wetu hawana "eloquency" ,viingereza vyao vikavu kuliko Ma- engineers waliohitimu kutoka vyuo vikuu vya Arabuni!

Nimefuatilia mahojiano ya Shaka Sali na Maalim Seif voice of America hivi punde,haeleweki ,hoja zake hazishikiki sababu ya lugha sijui!

Mfano amesema," people were given booklets to vote vote vote..! hivi katika uchaguzi kuna booklets!

Angepaswa kusema "electorates were given ballot papers to cast their votes repeatedly !
Ni aibu kwenye international political arena ku-vibrate with such a poor english! Ingekuwa ni interview ya kiswahili tungeona povu jingi kweli!!!

Mwisho napendekeza hata Bunge letu la Jamuhuri ya Muungano liendeshwe kwa lugha ya Kiingereza ili kuleta utulivu na kupunguza hoja za kipuuzi kutoka kwa baadhi ya Wabunge!
 
Ndugu zangu Watanzania hiki kiswahili cha Dunia (English) kweli kinatutesa na hasa Viongozi wetu wakubwa wa kisiasa! Na hii ni kutokana na tabia zetu za "kiswahili" za kutopenda kujisomea ! Viongozi wetu hawana "eloquency" ,viingereza vyao vikavu kuliko Ma- engineers waliohitimu kutoka vyuo vikuu vya Arabuni! Nimefuatilia mahojiano ya Shaka Sali na Maalim Seif voice of America hivi punde,haeleweki ,hoja zake hazishikiki sababu ya lugha sijui! Mfano amesema," people were given booklets to vote vote vote..! hivi katika uchaguzi kuna booklets! Angepaswa kusema "electorates were given ballot papers to cast their votes repeatedly ! Ni aibu kwenye international political arena ku-vibrate with such a poor english! Ingekuwa ni interview ya kiswahili tungeona povu jingi kweli!!! Mwisho napendekeza hata Bunge letu la Jamuhuri ya Muungano liendeshwe kwa lugha ya Kiingereza ili kuleta utulivu na kupunguza hoja za kipuuzi kutoka kwa baadhi ya Wabunge!


Mbona Obama kiswaili chake ni kibaya na haushangai.... au Uhuru kenyata mbona kiswaili chake ni kibovu na hata ujauliza.... tuache ushamba
 
Ndugu zangu Watanzania hiki kiswahili cha Dunia (English) kweli kinatutesa na hasa Viongozi wetu wakubwa wa kisiasa! Na hii ni kutokana na tabia zetu za "kiswahili" za kutopenda kujisomea ! Viongozi wetu hawana "eloquency" ,viingereza vyao vikavu kuliko Ma- engineers waliohitimu kutoka vyuo vikuu vya Arabuni! Nimefuatilia mahojiano ya Shaka Sali na Maalim Seif voice of America hivi punde,haeleweki ,hoja zake hazishikiki sababu ya lugha sijui! Mfano amesema," people were given booklets to vote vote vote..! hivi katika uchaguzi kuna booklets! Angepaswa kusema "electorates were given ballot papers to cast their votes repeatedly ! Ni aibu kwenye international political arena ku-vibrate with such a poor english! Ingekuwa ni interview ya kiswahili tungeona povu jingi kweli!!! Mwisho napendekeza hata Bunge letu la Jamuhuri ya Muungano liendeshwe kwa lugha ya Kiingereza ili kuleta utulivu na kupunguza hoja za kipuuzi kutoka kwa baadhi ya Wabunge!
wewe ni musoma huko ni lugha za kienyeji ukidikia mtu akiongea kizungu basi unakimbia mbio.


swissme
 
Ndugu zangu Watanzania hiki kiswahili cha Dunia (English) kweli kinatutesa na hasa Viongozi wetu wakubwa wa kisiasa! Na hii ni kutokana na tabia zetu za "kiswahili" za kutopenda kujisomea ! Viongozi wetu hawana "eloquency" ,viingereza vyao vikavu kuliko Ma- engineers waliohitimu kutoka vyuo vikuu vya Arabuni! Nimefuatilia mahojiano ya Shaka Sali na Maalim Seif voice of America hivi punde,haeleweki ,hoja zake hazishikiki sababu ya lugha sijui! Mfano amesema," people were given booklets to vote vote vote..! hivi katika uchaguzi kuna booklets! Angepaswa kusema "electorates were given ballot papers to cast their votes repeatedly ! Ni aibu kwenye international political arena ku-vibrate with such a poor english! Ingekuwa ni interview ya kiswahili tungeona povu jingi kweli!!! Mwisho napendekeza hata Bunge letu la Jamuhuri ya Muungano liendeshwe kwa lugha ya Kiingereza ili kuleta utulivu na kupunguza hoja za kipuuzi kutoka kwa baadhi ya Wabunge!
Mkuu unanitafutia ban hivi angekuwa bokassa si angekimbia interview yenyewe
 
Ndugu zangu Watanzania hiki kiswahili cha Dunia (English) kweli kinatutesa na hasa Viongozi wetu wakubwa wa kisiasa! Na hii ni kutokana na tabia zetu za "kiswahili" za kutopenda kujisomea ! Viongozi wetu hawana "eloquency" ,viingereza vyao vikavu kuliko Ma- engineers waliohitimu kutoka vyuo vikuu vya Arabuni! Nimefuatilia mahojiano ya Shaka Sali na Maalim Seif voice of America hivi punde,haeleweki ,hoja zake hazishikiki sababu ya lugha sijui! Mfano amesema," people were given booklets to vote vote vote..! hivi katika uchaguzi kuna booklets! Angepaswa kusema "electorates were given ballot papers to cast their votes repeatedly ! Ni aibu kwenye international political arena ku-vibrate with such a poor english! Ingekuwa ni interview ya kiswahili tungeona povu jingi kweli!!! Mwisho napendekeza hata Bunge letu la Jamuhuri ya Muungano liendeshwe kwa lugha ya Kiingereza ili kuleta utulivu na kupunguza hoja za kipuuzi kutoka kwa baadhi ya Wabunge!
kwani maalimu naye ni dr kama wengine? kwa elimu yake amejitahidi angekuwa na elimu ya udoctrate nakababaika kuzungumza tungemtilia shaka juu ya elimu yake
 
Nimemsikiliza Mh.Maalim,mbona amejitahidi kujieleza vizuri sana na amegusia matatizo mbalimbali yanayowakumba vyama vya upinzani na changamoto zake.

kiingereza kwetu ni lugha ya pili,hutegemei tuizungumze kama wenye lugha wenyewe.

Namsifu sana,pia wewe si mwalimu mzuri wa kiingereza! Ameongea kwa muda mrefu sana,kuna kuchoka nk.Hongera Maalim.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom