Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,306
- 25,928
Dondoo:
1.Alikubali kutokwenda chuo kikuu na kwenda kufundisha shule za sekondari.
2. Ni msomi wa Shahada ya Sayansi ya Siasa na Utawala,UDSM 1975.
3. Alishika ngazi mbalimbali za uongozi kiserikali na kichama akiwa CCM hadi alipotimuliwa mwaka 1988.
4. Alikamatwa na kuwekwa kizuizini kuanzia Mei 1989 hadi November 1991 kwa kukutwa na nyaraka za siri za Serikali.
5. Pamoja na waliokuwa wanachama wengine wa CCM,walianzisha CUF mwaka 1992.
6. Ameshagombea Urais wa Zanzibar mara tano.
7. Amekuwa ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.
Zaidi: Seif Sharif Hamad - Wikipedia, the free encyclopedia
1.Alikubali kutokwenda chuo kikuu na kwenda kufundisha shule za sekondari.
2. Ni msomi wa Shahada ya Sayansi ya Siasa na Utawala,UDSM 1975.
3. Alishika ngazi mbalimbali za uongozi kiserikali na kichama akiwa CCM hadi alipotimuliwa mwaka 1988.
4. Alikamatwa na kuwekwa kizuizini kuanzia Mei 1989 hadi November 1991 kwa kukutwa na nyaraka za siri za Serikali.
5. Pamoja na waliokuwa wanachama wengine wa CCM,walianzisha CUF mwaka 1992.
6. Ameshagombea Urais wa Zanzibar mara tano.
7. Amekuwa ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.
Zaidi: Seif Sharif Hamad - Wikipedia, the free encyclopedia