Maalim Seif hakushinda Uchaguzi wa Oktoba na analijua hilo

SONGOKA

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
1,843
1,841
maalim seif anacheza kamchezo flani ivi, kanaitwa zira wakuhurumie.

kama ni kweli maalimu alishinda uchaguzi wa oktoba kwa 52% , na wakamfanyia figisu kwa kufuta uchaguzi, dawa sahihi ya kuwashughulikia CCM ilikuwa ni ipi???

Kwa mwanasiasa mkomavu dawa ilikuwa ni kuhakikisha unawaaibisha kwa mara ya pili kwa kushinda tena. Maalimu alipaswa kuhakikisha anawaanda wasimamizi waaminifu katika kipindi cha miezi minne toka oktoba 2015, huku akihamasisha wafuasi wake kushiriki uchaguzi wa marudio kwa kishindo, ili kuhakikisha CCM hawapati pa kuchomokea. Na hii ndo sifa ya mwanamapindizi mkongwe.

Wote tunajua figisu za wakoloni zilivyokuwa za hatari, lakini wazee wetu hawakuwahi kususa mapambano, Kina nyerere, Mugabe, Mandela, patric Lumumba n.k walipigwa figisu za hatari zaidi ya hii ya maalimu,lakini kwa kuwa walijua kuwa ushindi ni wao, hakuna aliyesusa, walipambana mpaka nmzungu akaondoka.

Hii ya maalimu iligua ni geresha na danganya toto, na kama anabisha atuwekee nyaraka za majadiliano kati yake na shein. Maalimu anajua hakushinda oktoba na alijua kabisa kuwa hatashinda tena machi, ndo maana akaamua kuwasaliti wazanzbar kwa kususa, ili tu waamini eti kaonewa.

haiitaji degree ya Havard kuuelewa huu mchezo wa maalimu, labda nimalize kwa kumshauri kuwa Mwanamapinduzi au mwanasiaswa mkongwe yoyote hawezi kususia uchaguzi, bali hushiriki mara nyingi iwezekanavyo ili kuwashinda na kuwaaibisha wapinzani wake.

Poleni wana CUF, huku ufipa hatuna hamu kabisa na Sief, ndo maana mwenyekiti wetu na katibu mkuu mpya hawajaenda kumuona hapo HOTELINI anapolipiwa na serikali ya shein,
 
Sometimes sio lazima uandike upuuzi wako asubuhi namna hii, hivi kwa akili ya kawaida kweli mtu anaweza kushinda kwa 90%? Watoto walipiga kura, wafu walipiga kura, achene utoto. Hivi kwa turn up ndogo namna ile hizo kura laki tatu zilitoka wapi?? Msitufanye wajinga nyie CCM. Haya mjiandae kulipa ubaya wenu
 
maalim seif anacheza kamchezo flani ivi, kanaitwa zira wakuhurumie.

kama ni kweli maalimu alishinda uchaguzi wa oktoba kwa 52% , na wakamfanyia figisu kwa kufuta uchaguzi, dawa sahihi ya kuwashughulikia CCM ilikuwa ni ipi???

Kwa mwanasiasa mkomavu dawa ilikuwa ni kuhakikisha unawaaibisha kwa mara ya pili kwa kushinda tena. Maalimu alipaswa kuhakikisha anawaanda wasimamizi waaminifu katika kipindi cha miezi minne toka oktoba 2015, huku akihamasisha wafuasi wake kushiriki uchaguzi wa marudio kwa kishindo, ili kuhakikisha CCM hawapati pa kuchomokea. Na hii ndo sifa ya mwanamapindizi mkongwe.

Wote tunajua figisu za wakoloni zilivyokuwa za hatari, lakini wazee wetu hawakuwahi kususa mapambano, Kina nyerere, Mugabe, Mandela, patric Lumumba n.k walipigwa figisu za hatari zaidi ya hii ya maalimu,lakini kwa kuwa walijua kuwa ushindi ni wao, hakuna aliyesusa, walipambana mpaka nmzungu akaondoka.

Hii ya maalimu iligua ni geresha na danganya toto, na kama anabisha atuwekee nyaraka za majadiliano kati yake na shein. Maalimu anajua hakushinda oktoba na alijua kabisa kuwa hatashinda tena machi, ndo maana akaamua kuwasaliti wazanzbar kwa kususa, ili tu waamini eti kaonewa.

haiitaji degree ya Havard kuuelewa huu mchezo wa maalimu, labda nimalize kwa kumshauri kuwa Mwanamapinduzi au mwanasiaswa mkongwe yoyote hawezi kususia uchaguzi, bali hushiriki mara nyingi iwezekanavyo ili kuwashinda na kuwaaibisha wapinzani wake.

Poleni wana CUF, huku ufipa hatuna hamu kabisa na Sief, ndo maana mwenyekiti wetu na katibu mkuu mpya hawajaenda kumuona hapo HOTELINI anapolipiwa na serikali ya shein,
mzee nenda ukanywe mvinyo pamoja na bangi. Tume ya uchaguzi ya ccm ndio itakubali tena kufanya utumbo walio ufanya october kutowa karatasi za matokeo waota nn
 
Sometimes sio lazima uandike upuuzi wako asubuhi namna hii, hivi kwa akili ya kawaida kweli mtu anaweza kushinda kwa 90%? Watoto walipiga kura, wafu walipiga kura, achene utoto. Hivi kwa turn up ndogo namna ile hizo kura laki tatu zilitoka wapi?? Msitufanye wajinga nyie CCM. Haya mjiandae kulipa ubaya wenu
alafu Elli mbona unajiaibisha hivi, we mkongwe humu ujue, sasa 90% inahusiana nini na watoto na wafu, au hujui hiyo ni asilimia ya watu waliopiga kura.
 
alafu Elli mbona unajiaibisha hivi, we mkongwe humu ujue, sasa 90% inahusiana nini na watoto na wafu, au hujui hiyo ni asilimia ya watu waliopiga kura.
Hahahahhahaa nimefurahi mkuu, asante sana
 
4af737005786dd8a8b59954df6d73f24.jpg
 
Umeongea kweli mtoa mada.....kwanza kumbuka kwa znz sio jambo la kwanza uchaguzi kurudiwa, wazee wa enzi hizo na kura za maruhani wanalijua hilo mbona wakati huo watu hawakugomea? Kuna analolijua....safari hii hadi ITV ilipeleka waandishi hadi pemba ndaniiiiiiiiiiiiii
 
Ulitaka Maalimu afanye nini wakati kufutwa kwa uchaguzi kulikuwa na lengo la kumuidhinisha Dr Shein kwa mtutu.

Hicho kichwa si kwa ajili ya umbeya
 
Wehu ndiyo huwa na mawazo muozo kama ya mleta uzi. Hivyo mleta uzi atakua hayuko sawa, akapimwe akili.
 
**TAKWIMU**
angalia waliojiandikisha kupiga kura walikuwa ni wa ngapi?
na waliopiga kura walikuwa wa ngapi? na kura zilizoharibika zilikuwa ngapi?
UKIFANYA HIVYO NDO UTAJUA USHINDI WA SEIF ULIKUWA VIPI!
na siyo kuleta blah blah kama umeandika post huku umekalia msumari wa wenye moto
 
Ulitaka Maalimu afanye nini wakati kufutwa kwa uchaguzi kulikuwa na lengo la kumuidhinisha Dr Shein kwa mtutu.

Hicho kichwa si kwa ajili ya umbeya
kwa hiyo Mandela alipowekwa gerezani 25 years, na wafuasi wake wakauwawa alipaswa kususia uchaguzi alipoachiwa???? akili ndogo hutetea udhaifu sikuzote
 
**TAKWIMU**
angalia waliojiandikisha kupiga kura walikuwa ni wa ngapi?
na waliopiga kura walikuwa wa ngapi? na kura zilizoharibika zilikuwa ngapi?
UKIFANYA HIVYO NDO UTAJUA USHINDI WA SEIF ULIKUWA VIPI!
na siyo kuleta blah blah kama umeandika post huku umekalia msumari wa wenye moto
leta hizo takwimu hapa, nani akaangalie, mimi uzi wangu unahusu seif alivyokula mlungula na kususia uchaguzi, kama wewe unatakwimu za kuthibitisha otherwise zilete hapa
 
Back
Top Bottom