Maalim Seif avuliwa Ukatibu Mkuu CUF, Magdalena Sakaya apewa Ukatibu Mkuu

Ndani ya CUf kwa sasa kinachokuja kutokea ni kifo cha Chama kwasababu wanalazimika kuongozwa na akili za Chama kingine
Hapa kua CUF inayofuata nyayo za CDM na CUF inayofuata nyayo za CCM. Sijui kama watavuka salama kama hawatokaa mezani na kuondoa tofauti zao. Wapo mahakamani wanarumbana lakini mahakama hazitosaidia bali ndo zitazidi kuwanyong'onyeza.
 
hii cuf imeshakufa kabisa kwasababu ya kupokea order za pale ikulu,, juzi nimemuona huyo prof akiwa hapa magogoni ila sikujua kama walikuja kujadiliana swala hili
ulikuwa umebana kona gani mkuu..au ndo ninyi kina mtembea bure si sawa na mkaa bure unaweza kuokota hata jero barabarani ukanywa maji ya kandoro...
 
Ni ndoto za mwendawazimu alionapo jalala, uthubutu huo kaupata wapi, Baraza kuu lipi, wakati Prepesa siooo mwanachama halali, ni mwe/kitu wa msajiliiiiiiii
 
Dah sasa kwanni kina maalim wasivunje chama pia chadema wavunje also ACT tuunde chama kimoja kikubwa sana cha upinzani tufumue mambo ya vyama hay tuwe wamoja tukienda hivi tumegawanyika 2020 cuf itasimamisha lipumba unakuta act inamuweka zitto then chadema lisu sijui kura zinapukutika na majimbo tutapoteza mengi sana.

kma wana cuf mnasoma hii post yangu mchukue hatua ssa kma mkimlea lipumba atawaulia chama mfanye uamuzi mmoka eithee kumtimua kabisa au munuachie hyo CUG lasihivyo 2020 utatokea mpasuko mkubwa na CUF itazikwa rasmi.
 
Hapa kua CUF inayofuata nyayo za CDM na CUF inayofuata nyayo za CCM. Sijui kama watavuka salama kama hawatokaa mezani na kuondoa tofauti zao. Wapo mahakamani wanarumbana lakini mahakama hazitosaidia bali ndo zitazidi kuwanyong'onyeza.
Nakubaliana na wewe lakini mtu kama Maalim naye alikuwa na nafasi kubwa San aya ushawishi hasa kule Zanzbar npata Mashaka na Sakaya
 
  • Thanks
Reactions: SDG

Similar Discussions

Back
Top Bottom