Seif shariff Hamad Alitakiwa aende peke yake kama katibu mkuu akiwa amebeba makbrasha ya taarifa kumpelekea mheshimiwa mwenyekiti wa CUF taifa mheshimiwa Lipumba.Sasa yeye anasema atakwenda na baraza kuu zima,wabunge,madiwani,wana CUF!!! ebo.Yeye na hilo kundi lake ndio wanaenda leta vurugu kwenye ofisi ya mheshimiwa mwenyekiti wa CUF.Kama kamwita Seif katibu mkuu ofisini hao wengine kinachowapeleka ofisi ya buguruni ni nini? Si wanataka kumfanyia vurugu tu mheshimiwa mwenyekiti wao? Polisi inabidi wamsaidie Lipumba DHIDI YA HILI GENGE LINALOTAKA KWENDA KUFANYA VURUGU BUGURUNI.