Maalim Seif amvaa IGP

Baraza Kuu linauwezo wa kumtimua Uanachama Mwenyekiti?
 
Maalim anatakiwa amwombe radhi m/kiti wake mapema kabla hajasimamishwa kwa kuchelewesha taarifa kwa kauli ya HAPA KAZI TU ni ya serikali ambapo ndani yake wote tunajisalimisha.
 
Mimi naona amefanya vizuri ili polisi iliomsindikiza Haruna ikamwondoe mtu wao vinginevyo kukitokea uvunjifu wa amani jeshi la polisi litabeba lawama
 
Polisi should wake up and do the right thing, na wao waache kutumika.
Tunaomba Ufafanue Kauli yako. Ni kwa vipi polisi wanatumika? wanatumika katika mambo/masuala gani na wanatumiwa na nani na kwa faida ya nani? Nomba ufafanue ili nikuelewe maana umesema "polisi wanatumika"..
 
"NCHI IMEKOSA MUELEKEO NA KUENDESHWA KISIASA"JAJI MSTAAFU/WAZIRI MKUU WARIOBA. DISCUSS
 
Namimi nitakuwapo kwenye huo msafara, Limpumba asituharibie upinzani kwa tamaa zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…