Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,848
- 2,669
huyu mwarabu jussa atakuwa anatumiwa tu! Tena wanaomtumia ni ukoo wa sultani wa zanzibar enzi hizo. Enyi wazanzibari wa zppp. Hawa wa asp na mahizbu (hizbollah) watawamaliza
Zitto amekua na msimamo tofauti akiamini kuwa mwaka 2010 Chadema ilishindwa kihalali,hasa amekua ana hoji kama tuliibiwa kura ni kura ngapi? Jambo ambalo viongozi wakuu wa Chadema wamekosa majibu!Mkuu vipi Zitto ana kauli gani juu ya uchaguzi wa JmT wa mwaka 2010z