mwanamapinduko
Senior Member
- Jan 24, 2011
- 178
- 41
Wakuu leo tarehe 30-7-2012 tunamaliza mwezi wa pili ukaranati wa shimo hilo haujakamilika. Ukarabati huo ni kero kwani unasababisha foleni kubwa isiyo ya lazima!
vipi na kule pamba road karibu na round about naona miezi inakatika hapaishi!