Maajabu ya rangi nyeusi

Maajabu ya rangi nyeusi

salum mabura

Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
67
Reaction score
5
Najitokeza kwenu wana jf kuuliza swali langu hivi:-
kwanini matairi yote duniani yanatengenezwa kwa kutumia rangi nyeusi?
Ukiangalia matairi ya gari,ndege,baiskeli n.k
Hv kwanini hayatengenezwi kwa rangi nyingine kama nyeupe,nyeusi,nyekundu n.k
Naombeni jibu jamani km yalishawahi kutengenezwa au la!
 
Back
Top Bottom