swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,253
- 1,475
KAMA NI KWELI huo ujumbe.
Hayati baba wa Taifa mh.Jk Nyerere aliwahi kusema "Hatutaki rais atakaeendesha nchi kwa kujadiliana na mkewe ndani halafu kesho anakuja kusema fanyeni hili au lile,Hapana.(siyo nukuu ya neno kwa neno samahani ni baadhi ya maneno ktk nukuu halisi)
Ukiangalia Nyerere alimaanisha awe ni rais mwenye maamuzi sahihi siyo ya mkewe au naswahuba.
Sasa kuna ujumbe huu chini ambao wanaCcm wanausambaza eti kuonesha kuwa magufuri hana uchu wa madaraka na hakuwa na mpango kwani hata Fomu ya urais alichukuliwa na mkewe.
Sasa tutafakari:
Je kama ni hivyo tutaongozwaje na mtu ambaye hakujiandaa? kutuongoza maana uongozi haushuki kama mana toka mbinguni
Je huyu si ataamuliwa na mkewe?maana ndiyo mwenye fomu ya uraisi.
Je kama fomu tu kachukuliwa na mkewe atashindwaje kuamrishwa na mkewe.
Je kama angejiandaa kuwa rais angeshindwa kutumia pesa kama wengine?
Soma sasa ujumbe wa wanaCCM hapa chini.
MAAJABU
Eti yadaiwa Gharama zilizotumika na baadhi ya watangaza nia CCM.
1. LOWASSA - Bilioni 154.7
2. MEMBE - Bilioni 79.8
3. NGELEJA Bilioni 58.6
4. JANUARI - Bilioni 45
5. KIGWANGALA - Bilioni 31
6. ASHA ROSE - Bilioni 15
7. WASSIRA - Bilioni 9.73
8. MWANDOSYA - Bilioni 6
9. YULE MKULIMA - Milioni 7
20. MAGUFULI - Milioni 1 tu ya kuchukua fomu, tena kalipiwa na mkewe (expected first lady)
Huyo ndiyo rais ajaye ambaye anaomba urais kwa niaba ya mkewe.
Je rais atakuwa nani yeye au mchukua fomu?
Hayati baba wa Taifa mh.Jk Nyerere aliwahi kusema "Hatutaki rais atakaeendesha nchi kwa kujadiliana na mkewe ndani halafu kesho anakuja kusema fanyeni hili au lile,Hapana.(siyo nukuu ya neno kwa neno samahani ni baadhi ya maneno ktk nukuu halisi)
Ukiangalia Nyerere alimaanisha awe ni rais mwenye maamuzi sahihi siyo ya mkewe au naswahuba.
Sasa kuna ujumbe huu chini ambao wanaCcm wanausambaza eti kuonesha kuwa magufuri hana uchu wa madaraka na hakuwa na mpango kwani hata Fomu ya urais alichukuliwa na mkewe.
Sasa tutafakari:
Je kama ni hivyo tutaongozwaje na mtu ambaye hakujiandaa? kutuongoza maana uongozi haushuki kama mana toka mbinguni
Je huyu si ataamuliwa na mkewe?maana ndiyo mwenye fomu ya uraisi.
Je kama fomu tu kachukuliwa na mkewe atashindwaje kuamrishwa na mkewe.
Je kama angejiandaa kuwa rais angeshindwa kutumia pesa kama wengine?
Soma sasa ujumbe wa wanaCCM hapa chini.
MAAJABU
Eti yadaiwa Gharama zilizotumika na baadhi ya watangaza nia CCM.
1. LOWASSA - Bilioni 154.7
2. MEMBE - Bilioni 79.8
3. NGELEJA Bilioni 58.6
4. JANUARI - Bilioni 45
5. KIGWANGALA - Bilioni 31
6. ASHA ROSE - Bilioni 15
7. WASSIRA - Bilioni 9.73
8. MWANDOSYA - Bilioni 6
9. YULE MKULIMA - Milioni 7
20. MAGUFULI - Milioni 1 tu ya kuchukua fomu, tena kalipiwa na mkewe (expected first lady)
Huyo ndiyo rais ajaye ambaye anaomba urais kwa niaba ya mkewe.
Je rais atakuwa nani yeye au mchukua fomu?